Nawezaje kupata simu ilioibiwa?

Nawezaje kupata simu ilioibiwa?

simu ikiibiwa hata ufanye restore factory bado asilimia 100% za kumnyakua mwizi zipo
nahata wakiiflash unanyakua mpaka fundi maana tunacollect hadi ip adress za computer ilofanya hilo zoezi.
na pia kama imetembea kwa watu zaidi ya 10 kila aloweka laini yake unanyakua hadi wa mwisho sasa hapo una chagua upate simu yako tuu au na mwizi wako mkapambane.

Sent using Jamii Forums mobile app
we mtata sanaaa
 
Wakuu vibaka wameniibia simu yangu Samsung Galaxy Tab A 7. android 5.x.x
nimejaribu kuitrack lakini naona itakua imefanyiwa factory reset, android version yake haina ile lock ambayo hata uki rest haitoki

naombeni ushauri kuna namna naweza fanya kabla ya kwenda polisi nimepewa fununu plisi wanaweza kuitrack ikapatikana

Nawasilisha
MREJESHO:
Wakuu nashukuru nimeipata simu yangu
Nilienda polisi kuchukua RB, baada ya hapo askari akanambia naweza kuitrack kama nataka
Akaniunganisha kwa askari wa kitengo nikampa details tukayajenga
Jana akanipigia simu nikaenda nikapewa simu yangu ila mwizi wangu sikumuona
 
simu ikiibiwa hata ufanye restore factory bado asilimia 100% za kumnyakua mwizi zipo
nahata wakiiflash unanyakua mpaka fundi maana tunacollect hadi ip adress za computer ilofanya hilo zoezi.
na pia kama imetembea kwa watu zaidi ya 10 kila aloweka laini yake unanyakua hadi wa mwisho sasa hapo una chagua upate simu yako tuu au na mwizi wako mkapambane.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaaaaa! mnadanganya sana watu nyie watu aisee daah!
 
MREJESHO:
Wakuu nashukuru nimeipata simu yangu
Nilienda polisi kuchukua RB, baada ya hapo askari akanambia naweza kuitrack kama nataka
Akaniunganisha kwa askari wa kitengo nikampa details tukayajenga
Jana akanipigia simu nikaenda nikapewa simu yangu ila mwizi wangu sikumuona
ungemfungulia kesi huyo polisi ili amtaje mwizi wako awekwe ndani arudishe gharama za usumbufu na kumtandika makofi ,huyo polisi atakuwa kala hela kwa huyo mwizi.
 
ungemfungulia kesi huyo polisi ili amtaje mwizi wako awekwe ndani arudishe gharama za usumbufu na kumtandika makofi ,huyo polisi atakuwa kala hela kwa huyo mwizi.
Mkuu kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake
Sikutaka makuu ikabidi niwe mpole tu maana unaweza kukosa yote
 
MREJESHO:
Wakuu nashukuru nimeipata simu yangu
Nilienda polisi kuchukua RB, baada ya hapo askari akanambia naweza kuitrack kama nataka
Akaniunganisha kwa askari wa kitengo nikampa details tukayajenga
Jana akanipigia simu nikaenda nikapewa simu yangu ila mwizi wangu sikumuona

Una maanisha nini?
 
MREJESHO:
Wakuu nashukuru nimeipata simu yangu
Nilienda polisi kuchukua RB, baada ya hapo askari akanambia naweza kuitrack kama nataka
Akaniunganisha kwa askari wa kitengo nikampa details tukayajenga
Jana akanipigia simu nikaenda nikapewa simu yangu ila mwizi wangu sikumuona
Gharama uliyotumia kuitrack?

Sent from ONEPLUS 5T using Tapatalk
 
Back
Top Bottom