Nawezaje kupata simu ilioibiwa?

Nawezaje kupata simu ilioibiwa?

Mwizi katoa rushwaaaaaa
MREJESHO:
Wakuu nashukuru nimeipata simu yangu
Nilienda polisi kuchukua RB, baada ya hapo askari akanambia naweza kuitrack kama nataka
Akaniunganisha kwa askari wa kitengo nikampa details tukayajenga
Jana akanipigia simu nikaenda nikapewa simu yangu ila mwizi wangu sikumuona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja siku zisogee baada ya siku 3 nitatoa ushuhuda mzima maana inawezekana bado anajipanga lkn kwa kifupi namba alizonipa hazipatikan, whsp ofline kitu alicho niahid baada ya dakik 2 mpaka sahiz hajatekeleza na vitu kibao vinavyo niaminisha nimepigwa japo n pesa kidogo sio mbaya San.



Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna thread jukwaa la malalamiko inamtafuta huyo yoshas
 
yoshas ni tapeli



Nitaleta ushahidi very soon, nilimlipa 50K anisaidie kutrace simu yangu iliyoibiwa lakini kaishia kuni-block

Ntarudi na screenshot na msg zote za mawasiliano


Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja siku zisogee baada ya siku 3 nitatoa ushuhuda mzima maana inawezekana bado anajipanga lkn kwa kifupi namba alizonipa hazipatikan, whsp ofline kitu alicho niahid baada ya dakik 2 mpaka sahiz hajatekeleza na vitu kibao vinavyo niaminisha nimepigwa japo n pesa kidogo sio mbaya San.



Sent using Jamii Forums mobile app
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1704894/
 
MREJESHO:
Wakuu nashukuru nimeipata simu yangu
Nilienda polisi kuchukua RB, baada ya hapo askari akanambia naweza kuitrack kama nataka
Akaniunganisha kwa askari wa kitengo nikampa details tukayajenga
Jana akanipigia simu nikaenda nikapewa simu yangu ila mwizi wangu sikumuona
Mkuu na mimi unaweza nisaidia namba ya polisi PM au ukanipa hatua ulizo fanya
 
Mi nipo mkoàni nilipigwa Samsang yangu nikaenda polisi na imei
Nikafungua kesi nikapata RB kisha nikapelekwa kwa askari wanaohusika na hii mambo
Nikaambiwa andaa elf50, simu ikisoma tu inatumiwa unawapa hiyo 50 halafu kama simu itakua mbali na ulipo basi utachangia nauli kuifuata
Na atakaye kamatwa na simu atakurudishia gharama zako zote, yaani 50k pamoja na nauli

Baada ya wiki 2 nikapigiwa ipo hewani nikwarushia uzuri mwizi aliiuza hapahapa mjini

Akadakwa nikapewa simu na jamaa akanirudishia gharama zangu

Kwa maelezo yao hiyo 50k anatumiwa jamaa tcra ili kuitrace no kwenye mitandao yote
 
Nimejisikia vibaya kupewa tuhuma ambazo hazina ukweli wowote..naona watu wanadhani Id yangu ni moja na ya @yushas kitu ambacho sio cha kweli... Naomba nikiri wazi kuwa nilimtafuta @yushas anisaidie kutrack simu yangu wakati tayari nishafungua kesi kituo cha polisi na tayar kesi yangu ilipewa askari wa kuifatilia lakin cha kushangaza Askari aliyefanikisha kuipata simu yangu ni tofauti na yule ambae alikabidhiwa file la kesi yangu...Na simu ilionekana siku 4 baada ya mimi na @yushas kuanza kuwasiliana hivo nikaamin moja kwa moja itakua @yushas ndio kafanikisha simu yangu kupatikana...kwa fikra zangu nawaza labda kipindi kile @yushas anashughulikia kupatikana kwa simu yangu labda hakua bize sana tofauti na saiv ambapo baada ya uzi huu kufunguliwa members wengi wamemtafuta awasaidie kutrack simu zao zilizopotea/kuibiwa hivo kupelekea yeye kuwa na kazi ya kutrack simu nying kwa wakati mmoja au inawezekana ni kweli kaingiwa na tamaa na kutapeli watu by the way nimeshangaa kuona watu wamemlipa pesa kabla ya kazi kufanyika kitu ambacho mimi sikukifanya (Nilimtumia elfu 30 baada ya kupigiwa simu na askari kuniambia simu imepatikana)

Nb.kesho nitaleta ushaid wa conversation nilizofanya na @yushas kupitia telegram ambazo zilizaa matunda had simu yangu kupatikana
 
Kama sio mtu mmoja basi nyie mpo chama moja. Ipo siku yenu mtajuta kwa hayo maovu yenu maana masikitiko ya watu huwa sio bure hata kidogo.
Nimejisikia vibaya kupewa tuhuma ambazo hazina ukweli wowote..naona watu wanadhani Id yangu ni moja na ya @yushas kitu ambacho sio cha kweli... Naomba nikiri wazi kuwa nilimtafuta @yushas anisaidie kutrack simu yangu wakati tayari nishafungua kesi kituo cha polisi na tayar kesi yangu ilipewa askari wa kuifatilia lakin cha kushangaza Askari aliyefanikisha kuipata simu yangu ni tofauti na yule ambae alikabidhiwa file la kesi yangu...Na simu ilionekana siku 4 baada ya mimi na @yushas kuanza kuwasiliana hivo nikaamin moja kwa moja itakua @yushas ndio kafanikisha simu yangu kupatikana...kwa fikra zangu nawaza labda kipindi kile @yushas anashughulikia kupatikana kwa simu yangu labda hakua bize sana tofauti na saiv ambapo baada ya uzi huu kufunguliwa members wengi wamemtafuta awasaidie kutrack simu zao zilizopotea/kuibiwa hivo kupelekea yeye kuwa na kazi ya kutrack simu nying kwa wakati mmoja au inawezekana ni kweli kaingiwa na tamaa na kutapeli watu by the way nimeshangaa kuona watu wamemlipa pesa kabla ya kazi kufanyika kitu ambacho mimi sikukifanya (Nilimtumia elfu 30 baada ya kupigiwa simu na askari kuniambia simu imepatikana)

Nb.kesho nitaleta ushaid wa conversation nilizofanya na @yushas kupitia telegram ambazo zilizaa matunda had simu yangu kupatikana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejisikia vibaya kupewa tuhuma ambazo hazina ukweli wowote..naona watu wanadhani Id yangu ni moja na ya @yushas kitu ambacho sio cha kweli... Naomba nikiri wazi kuwa nilimtafuta @yushas anisaidie kutrack simu yangu wakati tayari nishafungua kesi kituo cha polisi na tayar kesi yangu ilipewa askari wa kuifatilia lakin cha kushangaza Askari aliyefanikisha kuipata simu yangu ni tofauti na yule ambae alikabidhiwa file la kesi yangu...Na simu ilionekana siku 4 baada ya mimi na @yushas kuanza kuwasiliana hivo nikaamin moja kwa moja itakua @yushas ndio kafanikisha simu yangu kupatikana...kwa fikra zangu nawaza labda kipindi kile @yushas anashughulikia kupatikana kwa simu yangu labda hakua bize sana tofauti na saiv ambapo baada ya uzi huu kufunguliwa members wengi wamemtafuta awasaidie kutrack simu zao zilizopotea/kuibiwa hivo kupelekea yeye kuwa na kazi ya kutrack simu nying kwa wakati mmoja au inawezekana ni kweli kaingiwa na tamaa na kutapeli watu by the way nimeshangaa kuona watu wamemlipa pesa kabla ya kazi kufanyika kitu ambacho mimi sikukifanya (Nilimtumia elfu 30 baada ya kupigiwa simu na askari kuniambia simu imepatikana)

Nb.kesho nitaleta ushaid wa conversation nilizofanya na @yushas kupitia telegram ambazo zilizaa matunda had simu yangu kupatikana
Huna lolote, wewe na Yoshas ni mtu mmoja na wewe ndio chanzo cha sisi kutapeliwa maana ulitoa ushuhuda kumbe mwizi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yan simu ukirudishiwa na Askari mwingine tu ndo uamini itakua ni yoshas? Heb kaa tuliza akili utunge uongo mzuri, vinginenevyo kaz ya utapeli itakushinda
Nimejisikia vibaya kupewa tuhuma ambazo hazina ukweli wowote..naona watu wanadhani Id yangu ni moja na ya @yushas kitu ambacho sio cha kweli... Naomba nikiri wazi kuwa nilimtafuta @yushas anisaidie kutrack simu yangu wakati tayari nishafungua kesi kituo cha polisi na tayar kesi yangu ilipewa askari wa kuifatilia lakin cha kushangaza Askari aliyefanikisha kuipata simu yangu ni tofauti na yule ambae alikabidhiwa file la kesi yangu...Na simu ilionekana siku 4 baada ya mimi na @yushas kuanza kuwasiliana hivo nikaamin moja kwa moja itakua @yushas ndio kafanikisha simu yangu kupatikana...kwa fikra zangu nawaza labda kipindi kile @yushas anashughulikia kupatikana kwa simu yangu labda hakua bize sana tofauti na saiv ambapo baada ya uzi huu kufunguliwa members wengi wamemtafuta awasaidie kutrack simu zao zilizopotea/kuibiwa hivo kupelekea yeye kuwa na kazi ya kutrack simu nying kwa wakati mmoja au inawezekana ni kweli kaingiwa na tamaa na kutapeli watu by the way nimeshangaa kuona watu wamemlipa pesa kabla ya kazi kufanyika kitu ambacho mimi sikukifanya (Nilimtumia elfu 30 baada ya kupigiwa simu na askari kuniambia simu imepatikana)

Nb.kesho nitaleta ushaid wa conversation nilizofanya na @yushas kupitia telegram ambazo zilizaa matunda had simu yangu kupatikana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba mawasiliano yako tu Yoshas
vipo vifaa vya wazungu tunatumia mkuu watu wamezoea ku download app play store ambazo hazifanyi kazi kabisa .....vipo vifaa maalum ambavyo huwezi kuruka wala kudanganya wengi nimewafanyia kazi na wamepata simu zao na kama wapo humu waje watoe shuhuda zao.
all in all ninacho hitaji kikubwa kabla sijaanza kazi yangu ni rb tuu uliyo pewa polisi then mimi nitajua nini cha kufanya popote ulipo ilimradi iwe tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom