InvisibleTarget
JF-Expert Member
- Dec 20, 2014
- 1,138
- 2,182
Uongo ni upi hapo ?ni vizuri kuuliza ili kueleweshwa.Hahahaaaaaaa! mnadanganya sana watu nyie watu aisee daah!
Uongo ni upi hapo ?ni vizuri kuuliza ili kueleweshwa.Hahahaaaaaaa! mnadanganya sana watu nyie watu aisee daah!
Kama sio mtu mmoja basi nyie mpo chama moja. Ipo siku yenu mtajuta kwa hayo maovu yenu maana masikitiko ya watu huwa sio bure hata kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna lolote, wewe na Yoshas ni mtu mmoja na wewe ndio chanzo cha sisi kutapeliwa maana ulitoa ushuhuda kumbe mwizi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hata kutunga uongo tu huweziNimejisikia vibaya kupewa tuhuma ambazo hazina ukweli wowote..naona watu wanadhani Id yangu ni moja na ya @yushas kitu ambacho sio cha kweli... Naomba nikiri wazi kuwa nilimtafuta @yushas anisaidie kutrack simu yangu wakati tayari nishafungua kesi kituo cha polisi na tayar kesi yangu ilipewa askari wa kuifatilia lakin cha kushangaza Askari aliyefanikisha kuipata simu yangu ni tofauti na yule ambae alikabidhiwa file la kesi yangu...Na simu ilionekana siku 4 baada ya mimi na @yushas kuanza kuwasiliana hivo nikaamin moja kwa moja itakua @yushas ndio kafanikisha simu yangu kupatikana...kwa fikra zangu nawaza labda kipindi kile @yushas anashughulikia kupatikana kwa simu yangu labda hakua bize sana tofauti na saiv ambapo baada ya uzi huu kufunguliwa members wengi wamemtafuta awasaidie kutrack simu zao zilizopotea/kuibiwa hivo kupelekea yeye kuwa na kazi ya kutrack simu nying kwa wakati mmoja au inawezekana ni kweli kaingiwa na tamaa na kutapeli watu by the way nimeshangaa kuona watu wamemlipa pesa kabla ya kazi kufanyika kitu ambacho mimi sikukifanya (Nilimtumia elfu 30 baada ya kupigiwa simu na askari kuniambia simu imepatikana)
Nb.kesho nitaleta ushaid wa conversation nilizofanya na @yushas kupitia telegram ambazo zilizaa matunda had simu yangu kupatikana
Hahahaaa mimi ningekuwa mwizi ningekuibia simu yako mwenyewe halafu nione kama utanikamata nayo na nitaitumia kuwasiliana na wewe mwenyewe , hahahaaa tecnolojia haijalala bosi unapo lala na hili wenzio wanaamka na lingine.Uongo ni upi hapo ?ni vizuri kuuliza ili kueleweshwa.
Labda kama hiyo simu imeibwa na mjinga asiye jua lolote kuhusu tecnolojia ya simu na mifumo yake lakin kama mjanja hahahaa huipati ng'ooo hata kama utalala cyber na kula TCRAUongo ni upi hapo ?ni vizuri kuuliza ili kueleweshwa.
Acha wapigwe mpaka wapate akili![]()
Mimi nilienda polisi nikapeleka imei namba kila kitu ila polisi ni wavivu kishenzi kufuatilia kesi wanakupija kalenda tu..wanawaza kuhongwa ..sanasana kuipata ni connection
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nipo mkoàni nilipigwa Samsang yangu nikaenda polisi na imei
Nikafungua kesi nikapata RB kisha nikapelekwa kwa askari wanaohusika na hii mambo
Nikaambiwa andaa elf50, simu ikisoma tu inatumiwa unawapa hiyo 50 halafu kama simu itakua mbali na ulipo basi utachangia nauli kuifuata
Na atakaye kamatwa na simu atakurudishia gharama zako zote, yaani 50k pamoja na nauli
Baada ya wiki 2 nikapigiwa ipo hewani nikwarushia uzuri mwizi aliiuza hapahapa mjini
Akadakwa nikapewa simu na jamaa akanirudishia gharama zangu
Kwa maelezo yao hiyo 50k anatumiwa jamaa tcra ili kuitrace no kwenye mitandao yote
😂😂😂 Kaa kijanja mjini hapa mzee wangu.Mimi pia nilipona kidogo anipige aisee
Pole mkuu, umeongea kwa uchunguNgoja siku zisogee baada ya siku 3 nitatoa ushuhuda mzima maana inawezekana bado anajipanga lkn kwa kifupi namba alizonipa hazipatikan, whsp ofline kitu alicho niahid baada ya dakik 2 mpaka sahiz hajatekeleza na vitu kibao vinavyo niaminisha nimepigwa japo n pesa kidogo sio mbaya San.
Sent using Jamii Forums mobile app

Na unaweza kuta ni huyo huyo tapeli alokutapeli mwanzoYaani mtu umetoka kuibiwa/kutapeliwa simu, halafu jitu jingine tena linatumia mwanya huo huo kkutapeli pesa tena,
dah unaweza ukahisi dunia haikutaki!
Sent using Jamii Forums mobile app


Mkuu msiishi kwa kuwaamini watu simple simple hapo ashakupiga pole sanaNgoja siku zisogee baada ya siku 3 nitatoa ushuhuda mzima maana inawezekana bado anajipanga lkn kwa kifupi namba alizonipa hazipatikan, whsp ofline kitu alicho niahid baada ya dakik 2 mpaka sahiz hajatekeleza na vitu kibao vinavyo niaminisha nimepigwa japo n pesa kidogo sio mbaya San.
Sent using Jamii Forums mobile app


etii simu iflashiwe alafu uipate 

uongo huo . Una tapeliwe na wewe uje utusumbue na thread mpya
Time is a drug. Too much of it kills you



hii ni vita ta mafahali wawiliBoss nikiflash simu hutokaa uipate andika maumivu