Nawezaje kupata simu ilioibiwa?

Nawezaje kupata simu ilioibiwa?

#yoshas ni tapeli.
Jamaa na atakuwa kawatapeli wengi humu
Mimi nilijifanya mteja na nikamwambia kuwa nataka huduma yake basi
Akaniambia tuma rb nikatuma nikamwambia tuonane akaanza kila mara anasema yuko kanisani na anajifanya msabato.
Jamaa ni bonge la tapeli

Kama umeibiwa simu yako na uko DSM.
Nenda tabata segerea kwenye gazebo la halotel na kuna mdada utamkuta mweusi omba connection atakupa connection na watu wa hapo hapo segerea na utapata simu yako ndani ya siku mbili. Na hawachukua hata sent kabla ya kupata simu yako.
NB. Usikubali kutoa pesa kabla ya kupata simu yako narudia tena usitoe hata sent kabla ya kupata simu yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
watu washaliaa...!! Kweli bongo nyosoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heee kumbe uzi nimefika mwisho, mjini akili tuu pesa utazikuta.

Nimechoka alipo sema *popote ulipo simu unaipata mtu yy yuko dsm tracker, mm kigoma nilie poteza simu, dah*

Ukibiwa simu ikabadilishwa IMEI ndo sio yako tena, hutokaa uipate milele kwa Tz labda uwape CIA ndo wanaweza kuipata

Sent using Jamii Forums mobile app
Niliwaambia hana maajabu na ajui chochote kuhusu simu ni mtu wa story nyingi sana.
 
Mimi nimeibiwa simu mwezi uliopita,
Nina namba ya simu ya mwizi (namba ya mwisho kuwekwa kwenye hiyo simu).

Pia Last location yake ipo, ila hadi sasa ni either jamaa kaizima, kaiflash au kaibadilisha IMEI, maana kila nikijaribu kuitrack kwa 'Samsung au Google Find My Phone' inaonyesha tu last location ya siku mbili baada ya simu hiyo kuibiwa.

Je kupitia hii namba yake(ambayo sasa haipatikani) na hiyo last location naweza nikampata huyu mtu.

Pia IMEI ya simu ninayo ila sijui kama itawezekana kama simu imezimwa au kubadilishwa IMEI

Mawazo yenu wakuu,
Kuna askari mmoja wa polisi aliniambia kama namba ya simu ya jamaa ipo anaweza akampata ila huyu polisi simuamini maana anataka malipo kabla

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimeibiwa simu mwezi uliopita,
Nina namba ya simu ya mwizi (namba ya mwisho kuwekwa kwenye hiyo simu).

Pia Last location yake ipo, ila hadi sasa ni either jamaa kaizima, kaiflash au kaibadilisha IMEI, maana kila nikijaribu kuitrack kwa 'Samsung au Google Find My Phone' inaonyesha tu last location ya siku mbili baada ya simu hiyo kuibiwa.

Je kupitia hii namba yake(ambayo sasa haipatikani) na hiyo last location naweza nikampata huyu mtu.

Pia IMEI ya simu ninayo ila sijui kama itawezekana kama simu imezimwa au kubadilishwa IMEI

Mawazo yenu wakuu,
Kuna askari mmoja wa polisi aliniambia kama namba ya simu ya jamaa ipo anaweza akampata ila huyu polisi simuamini maana anataka malipo kabla

Sent using Jamii Forums mobile app
Niliwahi sikia wengine wakiiba wala hawana muda kuiwasha, simu inafunguliwa wanaanza kuuza kifaa kimoja kimoja habari kwisha.
 
Mimi nilienda polisi nikapeleka imei namba kila kitu ila polisi ni wavivu kishenzi kufuatilia kesi wanakupija kalenda tu..wanawaza kuhongwa ..sanasana kuipata ni connection
Mimi nimeibiwa simu mwezi uliopita,
Nina namba ya simu ya mwizi (namba ya mwisho kuwekwa kwenye hiyo simu).

Pia Last location yake ipo, ila hadi sasa ni either jamaa kaizima, kaiflash au kaibadilisha IMEI, maana kila nikijaribu kuitrack kwa 'Samsung au Google Find My Phone' inaonyesha tu last location ya siku mbili baada ya simu hiyo kuibiwa.

Je kupitia hii namba yake(ambayo sasa haipatikani) na hiyo last location naweza nikampata huyu mtu.

Pia IMEI ya simu ninayo ila sijui kama itawezekana kama simu imezimwa au kubadilishwa IMEI

Mawazo yenu wakuu,
Kuna askari mmoja wa polisi aliniambia kama namba ya simu ya jamaa ipo anaweza akampata ila huyu polisi simuamini maana anataka malipo kabla

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom