Nawezaje kujifunza lugha ya kiarabu?

Nawezaje kujifunza lugha ya kiarabu?

Mkuu kenya kuna ulinzi mkali mtakamatwa huko alshababu unakotaka kwenda bora ujifunze kimakonde uende zako mtwara ukalime korosho, huko uarabuni ACHA KANISA
Lengo ni kupata uelewa
Natamani nianze kusafiri kwenda uarabuni ila changamoto imekuwa hii lugha ya kiarabu
Kiarabu hakina uhusiano na ugaidi usijipumbaze mkuu
 
Waislam wenyewe hawajui kiarabu wanaishia kukariri juzuu tu [emoji28][emoji28][emoji28]
Kiarabu hakifungani na uislam ni lugha nzuri tu
Kuna nchi zinakemea pepa kwa jina la yesu kwa kutumia kiarabu
 
Ngara hakuna wanazuoni wa kiisilamu,nenda Katoro au bukoba mjini kigoma ujiji mwanza ukerewe kuna chuo kinaitwa alijazira
Kiarabu sio kiislamu mashehe wengi hii lugha hawaijui
Zamani niliamini kama wewe lakini uhalisia ni kinyume chake
 
[emoji1] [emoji1787] [emoji23] kwa hiyo ukikaa na waarabu wanaongea kikwao unaelewa? Kwa sababu maneno mengi ni kiswahili?

Yaani hata wakiongea na kusema maneno yao yafanane na kiswahili huwezi kulisikia litakupita tu

Nilikaa na wacomoro siku moja sasa wakawa wanaongea ile lugha unatega sikio unafikiri ni kiswahili kumbe wapi hata neno moja sikuambulia

Ila kiarabu mimi nakijua sana kusoma na kuongea fluently
Kama unaelewa ulitumua njia zipi
Labda
Namna ya kusalimia
Kujitambulisha
Kutaja vitu mbalimbali
Tamaduni zingine za lugha hiyo
 
Jamaa anasema eti kama unafahamu kiswahili basi kiarabu hakitakusumbua

Hilo ndio napinga maana ni lugha mbili tofauti kabisa
Kuna maneno ya kiarabu hata kulitamka ni kazi kwa mfano 3ain

Mimi nilikuwa uarabuni na nilijifunza na kuelewa kwa miaka 2 tu nina uwezo wa kushika haraka lugha na sasa naongea lugha 5
Hongera na me natamani nijue lugha zote hasa kiarabu na kiispanyola
 
Kiarabu hakifungani na uislam ni lugha nzuri tu
Kuna nchi zinakemea pepa kwa jina la yesu kwa kutumia kiarabu
Huwa hamueleweki
Mtu akivaa kanzu Bar mnasema anatukanisha UISLAM ila akifumaniwa na kanzu mnasema ni vazi la kiarabu halihusiani na Uislam 🤣🤣🤣
 

Attachments

  • 20230715_113209.jpg
    20230715_113209.jpg
    39.2 KB · Views: 1
  • 20230702_113057.jpg
    20230702_113057.jpg
    83 KB · Views: 10
  • 20230208_130626.jpg
    20230208_130626.jpg
    11.4 KB · Views: 11
  • FB_IMG_1689495688971.jpg
    FB_IMG_1689495688971.jpg
    36.6 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1689347940815.jpg
    FB_IMG_1689347940815.jpg
    25.1 KB · Views: 12
Nahitaji sana kujifunza kuzungumza lugha ya kiarabu.

Ni miaka mitatu sasa sijapata mtaalamu wa lugha hii ya kiarabu japo nijue tu namna ya kusalimie, kujieleza na baadhi ya vitu vidogo.

Nimekuwa nikiwaliza mashehe kumbe na wao hawajui hii lugha na wamekariri wamekuwa wakinijibu hawajui chochote zaidi salamu ," asalam aleykum" basi

Mwenye kujua chuo, darasa au mwalimu nitagharamikia kila kitu

Niko nyumbani Ngara nikipata mwalimu wa huku Ngara itakuwa vema zaidi.

Nawatakiwa siku njema
Download app ya duolingo, onana na watu wa misikitini huko lazima wanafahamu walimu wa lugha hiyo.

Ila jua kua Kiarabu ni lugha ya zamani kama Kilatini hivi, lugha ya quran, na magazeti na taarifa ya habari ya kiarabu ni tofauti na viarabu vya mtaani

Unaweza ukaweza kusoma na kuelewa Kiarabu cha magazetini na tivii (Kiarabu rasmi, yani modern standard arabic, kilichotokana na Kiarabu cha qurani) ila ukashindwa kuongea na watu mitaani huko uarabuni
 
Mwarabu: Mamu smuka
AT: Ehee

Mwarabu: Mamu Smuka
AT: Sikuelewi unasemaje?

Mwarabu: Nataka Kojoa
AT: Ehee unataka kunikojolea?

Mwarabu: I want to know you
AT: Ah aha unataka kujinua,Naitwa Ally Ramadhani.
 
Download app ya duolingo, onana na watu wa misikitini huko lazima wanafahamu walimu wa lugha hiyo.

Ila jua kua Kiarabu ni lugha ya zamani kama Kilatini hivi, lugha ya quran, na magazeti na taarifa ya habari ya kiarabu ni tofauti na viarabu vya mtaani

Unaweza ukaweza kusoma na kuelewa Kiarabu cha magazetini na tivii (Kiarabu rasmi, yani modern standard arabic, kilichotokana na Kiarabu cha qurani) ila ukashindwa kuongea na watu mitaani huko uarabuni
Hapo pagumu kumbe hadi uishi na native speakers ndo kuweza ku master
 
Huwa hamueleweki
Mtu ajivaa kanzu Bar mnasema anatukanisha UISLAM ila akifumaniwa na kanzu mnasema ni vazi la kiarabu halihusiani na Udislam [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nahitaji sana kujifunza kuzungumza lugha ya kiarabu.

Ni miaka mitatu sasa sijapata mtaalamu wa lugha hii ya kiarabu japo nijue tu namna ya kusalimie, kujieleza na baadhi ya vitu vidogo.

Nimekuwa nikiwaliza mashehe kumbe na wao hawajui hii lugha na wamekariri wamekuwa wakinijibu hawajui chochote zaidi salamu ," asalam aleykum" basi

Mwenye kujua chuo, darasa au mwalimu nitagharamikia kila kitu

Niko nyumbani Ngara nikipata mwalimu wa huku Ngara itakuwa vema zaidi.

Nawatakiwa siku njema
Hii lugha imenisumbua sana nikiwa markaz(mahdu bilal) ila alhamdulillah kwasasa kifahamu..walimu utapata mchawi pesa tu
 
Nahitaji sana kujifunza kuzungumza lugha ya kiarabu.

Ni miaka mitatu sasa sijapata mtaalamu wa lugha hii ya kiarabu japo nijue tu namna ya kusalimie, kujieleza na baadhi ya vitu vidogo.

Nimekuwa nikiwaliza mashehe kumbe na wao hawajui hii lugha na wamekariri wamekuwa wakinijibu hawajui chochote zaidi salamu ," asalam aleykum" basi

Mwenye kujua chuo, darasa au mwalimu nitagharamikia kila kitu

Niko nyumbani Ngara nikipata mwalimu wa huku Ngara itakuwa vema zaidi.

Nawatakiwa siku njema
Sheikh asijue kiarabu labda mganga huyo..sema wee umemtafuta mtu tu kwa kuwa ni muislamu.....Sheikh mwenye elimu ya dini hakuna asiyejua kiarabu.....acha uongo.
 
Kama unaelewa ulitumua njia zipi
Labda
Namna ya kusalimia
Kujitambulisha
Kutaja vitu mbalimbali
Tamaduni zingine za lugha hiyo
Nilikaa miaka 10 uarabuni
Jambo la kwanza ni kujichanganya na wao kwa upande wa kazi na pia kuwa na marafiki vijana wenzangu ninaofanya nao kazi

Pia marafiki wa mtaani kwangu nilijuana nao kwa hobbies zangu za kuwa na fast cars
Hii ilinifanya nijifunze lugha haraka mpaka misemo ya kihuni [emoji1]

Nilikuwa kijana bado kwa hiyo nilijifunza na lugha nyingine pia

Kujifunza kwa wakati huo ilikuwa kwa vitendo yaani uwe na wanaoongea

Ila sasa unajifunza hata ukiwa peke yako kwa audio na video pia
 
Nilikaa miaka 10 uarabuni
Jambo la kwanza ni kujichanganya na wao kwa upande wa kazi na pia kuwa na marafiki vijana wenzangu ninaofanya nao kazi

Pia marafiki wa mtaani kwangu nilijuana nao kwa hobbies zangu za kuwa na fast cars
Hii ilinifanya nijifunze lugha haraka mpaka misemo ya kihuni [emoji1]

Nilikuwa kijana bado kwa hiyo nilijifunza na lugha nyingine pia

Kujifunza kwa wakati huo ilikuwa kwa vitendo yaani uwe na wanaoongea

Ila sasa unajifunza hata ukiwa peke yako kwa audio na video pia
Nadhani wewe ulikuwa na mazingira mazuri ya kuzungumza kwa vitendi
Me ngoja nifanye kwa nadharia nisome vitabu na YouTube lakini ugumu huwa nasahau maana sina wa kufanya nae mazoezi
 
Back
Top Bottom