Nawezaje kujifunza lugha ya kiarabu?

Nawezaje kujifunza lugha ya kiarabu?

Nahitaji sana kujifunza kuzungumza lugha ya kiarabu.

Ni miaka mitatu sasa sijapata mtaalamu wa lugha hii ya kiarabu japo nijue tu namna ya kusalimie, kujieleza na baadhi ya vitu vidogo.

Nimekuwa nikiwaliza mashehe kumbe na wao hawajui hii lugha na wamekariri wamekuwa wakinijibu hawajui chochote zaidi salamu ," asalam aleykum" basi

Mwenye kujua chuo, darasa au mwalimu nitagharamikia kila kitu

Niko nyumbani Ngara nikipata mwalimu wa huku Ngara itakuwa vema zaidi.

Nawatakiwa siku njema
Mkuu kenya kuna ulinzi mkali mtakamatwa huko alshababu unakotaka kwenda bora ujifunze kimakonde uende zako mtwara ukalime korosho, huko uarabuni ACHA KANISA
 
kuna lugha ambazo hauwez kujifunza mwenyewe kiarab ni moja wapo.miaka elfu
Na Kijerumani ila inawezekana ukipata mafunzo kwa audio na video tunajifunza kwa Kusoma, Kuandika na Kusikia KKK
 
Nahitaji sana kujifunza kuzungumza lugha ya kiarabu.

Ni miaka mitatu sasa sijapata mtaalamu wa lugha hii ya kiarabu japo nijue tu namna ya kusalimie, kujieleza na baadhi ya vitu vidogo.

Nimekuwa nikiwaliza mashehe kumbe na wao hawajui hii lugha na wamekariri wamekuwa wakinijibu hawajui chochote zaidi salamu ," asalam aleykum" basi

Mwenye kujua chuo, darasa au mwalimu nitagharamikia kila kitu

Niko nyumbani Ngara nikipata mwalimu wa huku Ngara itakuwa vema zaidi.

Nawatakiwa siku njema
Waislam wenyewe hawajui kiarabu wanaishia kukariri juzuu tu 😅😅😅
 
Nahitaji sana kujifunza kuzungumza lugha ya kiarabu.

Ni miaka mitatu sasa sijapata mtaalamu wa lugha hii ya kiarabu japo nijue tu namna ya kusalimie, kujieleza na baadhi ya vitu vidogo.

Nimekuwa nikiwaliza mashehe kumbe na wao hawajui hii lugha na wamekariri wamekuwa wakinijibu hawajui chochote zaidi salamu ," asalam aleykum" basi

Mwenye kujua chuo, darasa au mwalimu nitagharamikia kila kitu

Niko nyumbani Ngara nikipata mwalimu wa huku Ngara itakuwa vema zaidi.

Nawatakiwa siku njema
Ngara hakuna wanazuoni wa kiisilamu,nenda Katoro au bukoba mjini kigoma ujiji mwanza ukerewe kuna chuo kinaitwa alijazira
 
Nenda ZANZIBAR.

by the way Kama unafaham Kiswahili vizur basi kiarabu hakitakusumbua sana
[emoji1] [emoji1787] [emoji23] kwa hiyo ukikaa na waarabu wanaongea kikwao unaelewa? Kwa sababu maneno mengi ni kiswahili?

Yaani hata wakiongea na kusema maneno yao yafanane na kiswahili huwezi kulisikia litakupita tu

Nilikaa na wacomoro siku moja sasa wakawa wanaongea ile lugha unatega sikio unafikiri ni kiswahili kumbe wapi hata neno moja sikuambulia

Ila kiarabu mimi nakijua sana kusoma na kuongea fluently
 
[emoji1] [emoji1787] [emoji23] kwa hiyo ukikaa na waarabu wanaongea kikwao unaelewa? Kwa sababu maneno mengi ni kiswahili?

Yaani hata wakiongea na kusema maneno yao yafanane na kiswahili huwezi kulisikia litakupita tu

Nilikaa na wacomoro siku moja sasa wakawa wanaongea ile lugha unatega sikio unafikiri ni kiswahili kumbe wapi hata neno moja sikuambulia

Ila kiarabu mimi nakijua sana kusoma na kuongea fluently
Lugha ya kiswahili maneno yake mengi yanatoka kwenye lugha ya kiarabu lakini haina maana kuishi na waarabu ikawa sababu ya kufahamu lugha ya kiaarabu, kujifunza lazima
 
[emoji1] [emoji1787] [emoji23] kwa hiyo ukikaa na waarabu wanaongea kikwao unaelewa? Kwa sababu maneno mengi ni kiswahili?

Yaani hata wakiongea na kusema maneno yao yafanane na kiswahili huwezi kulisikia litakupita tu

Nilikaa na wacomoro siku moja sasa wakawa wanaongea ile lugha unatega sikio unafikiri ni kiswahili kumbe wapi hata neno moja sikuambulia

Ila kiarabu mimi nakijua sana kusoma na kuongea fluently
Lugha ya kiswahili maneno yake mengi yanatoka kwenye lugha ya kiarabu lakini haina maana kuishi na waarabu ikawa sababu ya kufahamu lugha ya kiaarabu, kujifunza lazima
 
Lugha ya kiswahili maneno yake mengi yanatoka kwenye lugha ya kiarabu lakini haina maana kuishi na waarabu ikawa sababu ya kufahamu lugha ya kiaarabu, kujifunza lazima
Jamaa anasema eti kama unafahamu kiswahili basi kiarabu hakitakusumbua

Hilo ndio napinga maana ni lugha mbili tofauti kabisa
Kuna maneno ya kiarabu hata kulitamka ni kazi kwa mfano 3ain

Mimi nilikuwa uarabuni na nilijifunza na kuelewa kwa miaka 2 tu nina uwezo wa kushika haraka lugha na sasa naongea lugha 5
 
Jamaa anasema eti kama unafahamu kiswahili basi kiarabu hakitakusumbua

Hilo ndio napinga maana ni lugha mbili tofauti kabisa
Kuna maneno ya kiarabu hata kulitamka ni kazi kwa mfano 3ain

Mimi nilikuwa uarabuni na nilijifunza na kuelewa kwa miaka 2 tu nina uwezo wa kushika haraka lugha na sasa naongea lugha 5
Mkuu sijasema hakitakusumbua. Rudi kasome nilivyoandika
 
Brother maneno mengi ya Kiswahili Yana asili ya arabic na ipo nadharia inayodai kuwa asili ya lugha ya Kiswahili NI kiarabu.

Hata hivyo nikuulize Sheikh ni nan?
Ni baadhi ya maneno
Lakini kiarabu na kiswahili utofauti ni mkubwa
 
Back
Top Bottom