ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 16,697
- 39,154
Nahitaji sana kujifunza kuzungumza lugha ya kiarabu.
Ni miaka mitatu sasa sijapata mtaalamu wa lugha hii ya kiarabu japo nijue tu namna ya kusalimie, kujieleza na baadhi ya vitu vidogo.
Nimekuwa nikiwaliza mashehe kumbe na wao hawajui hii lugha na wamekariri wamekuwa wakinijibu hawajui chochote zaidi salamu ," asalam aleykum" basi
Mwenye kujua chuo, darasa au mwalimu nitagharamikia kila kitu
Niko nyumbani Ngara nikipata mwalimu wa huku Ngara itakuwa vema zaidi.
Nawatakiwa siku njema
Ni miaka mitatu sasa sijapata mtaalamu wa lugha hii ya kiarabu japo nijue tu namna ya kusalimie, kujieleza na baadhi ya vitu vidogo.
Nimekuwa nikiwaliza mashehe kumbe na wao hawajui hii lugha na wamekariri wamekuwa wakinijibu hawajui chochote zaidi salamu ," asalam aleykum" basi
Mwenye kujua chuo, darasa au mwalimu nitagharamikia kila kitu
Niko nyumbani Ngara nikipata mwalimu wa huku Ngara itakuwa vema zaidi.
Nawatakiwa siku njema