Nawezaje kujifunza lugha ya kiarabu?

Nawezaje kujifunza lugha ya kiarabu?

Bro kuna watu wamekariri sana.
Kuna siku nilikuwa natafuta fursa za kufundisha mtandaoni oli niweze kutumia utaalamu wengu nje ta mipaka, nikakutana na fursa za warabu nyingi ila kiarabu sijui na kingereza ni kile cha s/m msingi mwembetogwa.
Watanzania ni vilaza sana tena wengine wana master.
Chuoni nilijiunga na kozi ya kichina ya awali, jamaa wakawa wananiuliza cha nini, nilibaki tu kuwashangaa tu.
Noligundua kuwa watanzania wengi ni vilaza sana, eti hawajui kuwa kichina ni fursa.Ajabu sana.
Kweli hii dunia kuna muingiliano mkubwa hupaswi kujifungia kwenye lugha moja
Ukipata muda kujifundisha na kujua lugha kubwa angalau 5 si vibaya
Kiingereza
Kiarabu
Kichina
Spanish
Kijerumumani
Na lugha ni vitu vya kufatilia ukajifundisha tu kwa muda wa ziada tunaopata
 
Nahitaji sana kujifunza kuzungumza lugha ya kiarabu.

Ni miaka mitatu sasa sijapata mtaalamu wa lugha hii ya kiarabu japo nijue tu namna ya kusalimie, kujieleza na baadhi ya vitu vidogo.

Nimekuwa nikiwaliza mashehe kumbe na wao hawajui hii lugha na wamekariri wamekuwa wakinijibu hawajui chochote zaidi salamu ," asalam aleykum" basi

Mwenye kujua chuo, darasa au mwalimu nitagharamikia kila kitu

Niko nyumbani Ngara nikipata mwalimu wa huku Ngara itakuwa vema zaidi.

Nawatakiwa siku njema
Kuna bibi humu mwombe atakufundisha hanaga roho mbaya hata
 
Nahitaji sana kujifunza kuzungumza lugha ya kiarabu.

Ni miaka mitatu sasa sijapata mtaalamu wa lugha hii ya kiarabu japo nijue tu namna ya kusalimie, kujieleza na baadhi ya vitu vidogo.

Nimekuwa nikiwaliza mashehe kumbe na wao hawajui hii lugha na wamekariri wamekuwa wakinijibu hawajui chochote zaidi salamu ," asalam aleykum" basi

Mwenye kujua chuo, darasa au mwalimu nitagharamikia kila kitu

Niko nyumbani Ngara nikipata mwalimu wa huku Ngara itakuwa vema zaidi.

Nawatakiwa siku njema
 
Kweli hii dunia kuna muingiliano mkubwa hupaswi kujifungia kwenye lugha moja
Ukipata muda kujifundisha na kujua lugha kubwa angalau 5 si vibaya
Kiingereza
Kiarabu
Kichina
Spanish
Kijerumumani
Na lugha ni vitu vya kufatilia ukajifundisha tu kwa muda wa ziada tunaopata
Ukitaka kujua kuwa una upungufu wa maarifa au umeiva kweli ingia mtandaoni ujionee sifa zinazohitajika ili upate kazi.
Juzi kati nimeona post upwork inataka mwalimu wa curriculum development kwa watoto geneus.
Sasa unajiuluza hio content mbona bongo hujasoma. Unagundua elimu yetu ni kwa ajili ya shule za kayumba.
Kwa hio kujiongeza ni muhimu sana. Soma hata lugha 10.
Soma hata computer programming kama hukuwahi soma. Wenzetu wanasoma na kuzichukua fursa mtandaoni.
 
Nahitaji sana kujifunza kuzungumza lugha ya kiarabu.

Ni miaka mitatu sasa sijapata mtaalamu wa lugha hii ya kiarabu japo nijue tu namna ya kusalimie, kujieleza na baadhi ya vitu vidogo.

Nimekuwa nikiwaliza mashehe kumbe na wao hawajui hii lugha na wamekariri wamekuwa wakinijibu hawajui chochote zaidi salamu ," asalam aleykum" basi

Mwenye kujua chuo, darasa au mwalimu nitagharamikia kila kitu

Niko nyumbani Ngara nikipata mwalimu wa huku Ngara itakuwa vema zaidi.

Nawatakiwa siku njema
Lugha ya mashetani unaipeleka wapi lugh isiyokuwa na pesa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ukitaka kujua kuwa una upungufu wa maarifa au umeiva kweli ingia mtandaoni ujionee sifa zinazohitajika ili upate kazi.
Juzi kati nimeona post upwork inataka mwalimu wa curriculum development kwa watoto geneus.
Sasa unajiuluza hio content mbona bongo hujasoma. Unagundua elimu yetu ni kwa ajili ya shule za kayumba.
Kwa hio kujiongeza ni muhimu sana. Soma hata lugha 10.
Soma hata computer programming kama hukuwahi soma. Wenzetu wanasoma na kuzichukua fursa mtandaoni.
Hakika mkuu
 
Kwani kuwa shekhe hadi ujue kiarabu?
Kuna mashehe wengi hawajui kiarabu
Wanatafsiri tu baadhi ya maandiko ya quaran
Lakini hawawezi kuwasiliano na native speaker wa Arabic language
Ndiyo nakwambia wengine ni makanjanja, elimu ya dini haishii madrasa kufundishwa kusoma kiarabu tu na Quran. Hiyo elimu ina upana zaidi ya hapo na kujua kiarabu ni muhimu maana matini ya kiarabu kusoma inahitaji umakini sana
 
Ndiyo nakwambia wengine ni makanjanja, elimu ya dini haishii madrasa kufundishwa kusoma kiarabu tu na Quran. Hiyo elimu ina upana zaidi ya hapo na kujua kiarabu ni muhimu maana matini ya kiarabu kusoma inahitaji umakini sana
Duh wew ndio think tank la waislamu Kaz ipo kama wewe ndio think tank lao

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hii lugha mm inanipa ujiko inanisaidia kutoa watu mashetani mm naongea kiarabu wao wanajua Quran
Basi na shetani anatoka
min ayna Giitu? unatoka wapi?
Giiytu minal byti? natoka nyumbani
 
Hii lugha mm inanipa ujiko inanisaidia kutoa watu mashetani mm naongea kiarabu wao wanajua Quran
Basi na shetani anatoka
min ayna Giitu? unatoka wapi?
Giiytu minal byti? natoka nyumbani
Ulitumia njia gani kujifunza
Maana kujisomea ni ngumu kiarabu
Nataka nijiongezee maarifa kujua lugha hii
 
Ulitumia njia gani kujifunza
Maana kujisomea ni ngumu kiarabu
Nataka nijiongezee maarifa kujua lugha hii
Nimesoma shule ya msingi na rafiki angu alikuwa mwarabu nimejifunza toka udogo
Alikiwa ananifundisha Vitu vingi majina na verb zote
Na pia nilikuwa nasoma vitabu vingi vya kiarabu
Madhaa faalta baada stayqadhta ?
(Unafanya nini baada ya kuamka?)

Baada istiqaadh mina naumi mumtii ladhy (Baada ya kuamka kutoka katika usingiz mzito )

Wallaa Joseph Magufuli Saidaa Paul Makonda Fii Dar es salam yaumul ithnayin thanii Ashara fii Rajab
(Alimteuwa Joseph Magufuli kuwa Paulo Makonda Mkuu wa Dar es salam siku ya jumapili mfungo 12 na mwezi wa Rajabu)
 
Back
Top Bottom