ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 16,697
- 39,154
- Thread starter
- #81
Mashehe wengi hawajui kuzungumzaSheikh asijue kiarabu labda mganga huyo..sema wee umemtafuta mtu tu kwa kuwa ni muislamu.....Sheikh mwenye elimu ya dini hakuna asiyejua kiarabu.....acha uongo.
Niamini mimi
Wanakariri tu kiarabu cha quaran ambapo huwezi kutumia kuwasiliano kibiashara na fursa zingine za lugha ya kiarabu