Nimesoma shule ya msingi na rafiki angu alikuwa mwarabu nimejifunza toka udogo
Alikiwa ananifundisha Vitu vingi majina na verb zote
Na pia nilikuwa nasoma vitabu vingi vya kiarabu
Madhaa faalta baada stayqadhta ?
(Unafanya nini baada ya kuamka?)
Baada istiqaadh mina naumi mumtii ladhy (Baada ya kuamka kutoka katika usingiz mzito )
Wallaa Joseph Magufuli Saidaa Paul Makonda Fii Dar es salam yaumul ithnayin thanii Ashara fii Rajab
(Alimteuwa Joseph Magufuli kuwa Paulo Makonda Mkuu wa Dar es salam siku ya jumapili mfungo 12 na mwezi wa Rajabu)