Nawezaje kujifunza lugha ya kiarabu?

Nawezaje kujifunza lugha ya kiarabu?

Anza na kujua irabu zote.ukizimasta matamsh yake ujue na tanwin.kwa maan ya sukun,kasra,dhuma,dhumattein,kisra ya juu ya chin
Simple tu unajua vitendo. Kisha anza kujifunza majina ya vitu, ndio msing wa kujua kitu
Umenipa jambo kubwa japo naona ugumu upo
 
Nahitaji sana kujifunza kuzungumza lugha ya kiarabu.

Ni miaka mitatu sasa sijapata mtaalamu wa lugha hii ya kiarabu japo nijue tu namna ya kusalimie, kujieleza na baadhi ya vitu vidogo.

Nimekuwa nikiwaliza mashehe kumbe na wao hawajui hii lugha na wamekariri wamekuwa wakinijibu hawajui chochote zaidi salamu ," asalam aleykum" basi

Mwenye kujua chuo, darasa au mwalimu nitagharamikia kila kitu

Niko nyumbani Ngara nikipata mwalimu wa huku Ngara itakuwa vema zaidi.

Nawatakiwa siku njema
Ingia mtandaoni 'learn Arabic online '
 
Kwani Ngara hakuna matajiri wa kiarabu.
Ukikosa bando lako tu tafuta walimu shule za uarabuni ujifunze online
 
Back
Top Bottom