Nawezaje kubadilika?

Nawezaje kubadilika?

Thats about your personality,

Utakuwa na sifa kadhaa miongoni mwazo; unachukia ugomvi, anamjali yeyote hata kama haumjui, mtaalamu wa kutunza siri (serious to those you dont know)

Aina ya personality yako ni Phlegmatic

With your time read; armchair_academic.homestead.com/PersonalityComp...
 
sijambo bidada, wewe?
Unajua tupo tofauti. Imagine upo na shosti hapa, ghafla mtu wake wa karibu sana anaumwa na anahitaji matibabu ambayo ni ghali, na unajua kwa haki ya Mungu kabisa hana hizo hela, na wewe unazo. kuendelea kuzitafuta kwa wengine wakati wewe upo naye hapo hata kama hajui kama unazo halafu unamnyima....... hili sitajisamehe, hata mgonjwa akija kupona..... na hata kama shosti hatajua kama ile siku nilikuwa na hizo hela ila sikumsaidia. Kulipana sasa ni majaaliwa......... la maana kwangu nimesaidia kuokoa hatari, Mungu ndo atajua atanilipaje.
Kama ni kukopeshana kwa kununua viwalo au shida ambayo siyo life serving, hapo sasa nitaamua nimpe au nisimpe. na hata kama anajua nina hela namwambia tu bila wasiwasi

Mimi mzima mpenzi.
Suala la afya au life n death situation yaani sijiulizagi. Maana dhamira will take me to grave. Tena hapo hata sikopeshi, natoa my all. Ila other developmental au vitu vya starehe kiukweli inategemea na mtu na amount.
Mfano ua garagaza harusi na sherehe sichangii. Misiba nachangia coz huwezi plan before hand Kuhusu mazishi. Elimu nachangia coz ni more sustainable lkn vingine no thanks.

Na kumkopesha mtu simkopeshi ili anichukie kwa muda kuliko kumkopesha halafu akukwepe daima ktk kudaiana.
 
Kabla hujaandika hapa ungeniuliza wewe una tabia gani kwnye utoaji ningekujibu kama ulivyoandika!!!
Yaani naweza kumjua mtu 'mtoaji' kiasi fulani kupitia maandishi yake!

By the way......nilkuwa Kigoma nikakutafuta kuanzia Ujiji mpaka Uvinza sijakuona, nilkuwa nauliza 'mmeshamwona yule dada wa kinyamwezi aliyejaaliwa?'...holaa

I guess asili yangu si siri. Lol
Wewe bwana ungenistua ili nikuchune kidogo, ila kwenye guessing yako Kuhusu "mnyamwezi aliyejaliwa" nahisi umekosea. But again it depends na kujaaliwa nini, kama ni ufupi kweli nimejaaliwa. Si eti The Boss.
 
Last edited by a moderator:
Binamu umetisha, mtu ukimkopesha laki mbili hata asipokulipa roho haikuumi dah uko juu

Bahati nzuri hao wa laki mbili hawaji kila siku. Tena saana ni ndugu. Akiomba nne, ninamwambia labda 150,000 inategemea na shida yake then naweza mpa 2 then nafuta. Na bahati nzuri, watu wa hivyo akukuliza hawezi rudi tena; hivyo unakuwa umeondoa one mkopaji in your life.
 
Jamani huu ugonjwa huwa unanisumbua sana, niko very eager kujitoa na kumsaidia mtu and sometimes I feel happy by doing that. Tatizo wakati mwingine najikuta natoa hata nilichosave kwa mipango mingine, na nakuwa ni mzito sana kudai.
 
Bahati nzuri hao wa laki mbili hawaji kila siku. Tena saana ni ndugu. Akiomba nne, ninamwambia labda 150,000 inategemea na shida yake then naweza mpa 2 then nafuta. Na bahati nzuri, watu wa hivyo akukuliza hawezi rudi tena; hivyo unakuwa umeondoa one mkopaji in your life.

Inabid nikutafute PM, inaonekana wewe ni rafiki mzur sana aiseh
 
Bora wewe charminglady weakness yako ina unafuu, muulize Dinazarde sasa weakness yake, yani sasa ivi hana shoga wote wamemkimbia kwa umbea, kashachambwa sana mtoto wa watu na vigodoro juu lakini wapi, binamu sio wa kumwamini yani ya siri anatoa na ya bayana anaficha

Pole sana, kila mtu ana mapungufu yake
 
Last edited by a moderator:
Bora wewe charminglady weakness yako ina unafuu, muulize Dinazarde sasa weakness yake, yani sasa ivi hana shoga wote wamemkimbia kwa umbea, kashachambwa sana mtoto wa watu na vigodoro juu lakini wapi, binamu sio wa kumwamini yani ya siri anatoa na ya bayana anaficha

Pole sana, kila mtu ana mapungufu yake

Eeeeee makubwaa nishachambwaa wapii miee ,!!!?umbea umenifundisha we ni mwalimu wangu,halaf shoga mi wa ninii,wa mtaani wananitosha hapa tunapiga udaku tu ili siku ipite
 
Last edited by a moderator:
Hii ndio disadvantage yake....

Saa nyingine unaacha kumsaidia mtu kumbe ana tatizo la kweli hii yote inatokana na baadhi ya watu kuwatumia wenzao moaka hujui nani umuamini nani usimwamini
halafu kuna watu ukiwasaidia wanaona kama we ndio una hela nyingi au tajiri sana. hawajui wenzao wanajiminya vile wanajali matatzo ya wenzao.
 
halafu kuna watu ukiwasaidia wanaona kama we ndio una hela nyingi au tajiri sana. hawajui wenzao wanajiminya vile wanajali matatzo ya wenzao.

We umeshasaidia yatima wangapi? Halafu usikose kwenda na wanaJF wenzako kuangalia wagonjwa wa saratani pale spitali ya Ocean Road....

Sawa....? Usipoenda nakuchafulia nyota yako....
 
Tunafanana....tungoje ushauri.

Me nimejitahidi kujifunza roho mbaya but nimeshindwa.

heee, kumbe tupo wengi? nilidhani ni mimi mwenyewe...afadhali sasa nimefarajika kwa kuwa nilidhani niko peke yangu.

hahahaha! ngoja nicheke kwanza.....

naomba nikuswalike swali CL: Je, huwa wewe ni mwepesi wa kutoa vitu tu au huo udhaifu wako upo hata kutoa papuchi? please reply.
 
halafu kuna watu ukiwasaidia wanaona kama we ndio una hela nyingi au tajiri sana. hawajui wenzao wanajiminya vile wanajali matatzo ya wenzao.
Husninyo nisaidie basi mimi mtoto yatimaa ati...
 
Last edited by a moderator:
We umeshasaidia yatima wangapi? Halafu usikose kwenda na wanaJF wenzako kuangalia wagonjwa wa saratani pale spitali ya Ocean Road....

Sawa....? Usipoenda nakuchafulia nyota yako....

hhahahahahahha!!!!! hivi ujue umepinda? yaani hilo jina avatar na comment vimenichekesha sana. natamani ningeenda ila sitakuwepo pande zile
 
Inawezekana ukijifunze kusema aiwezekani, itabadilika taratibu nami nilikuwa hivyo
 
hhahahahahahha!!!!! hivi ujue umepinda? yaani hilo jina avatar na comment vimenichekesha sana. natamani ningeenda ila sitakuwepo pande zile

Hivi ulishapita lile eneo kukiona hicho kibao? Hahahaaaa
 
Ndivyo binadamu tunavyopaswa kuwa. Na ndivyo maandiko ya dini yanavyotaka, giving what you cherish the most without expecting anything in return.
Sikushauri ubadilike, na l wish ungeniambukiza hiyo roho ningefurahi sana. Maana I am struggling to punguza uselfish.

Mimi mwenyewe I am struggling kupunguza huu ubinafsi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom