Nawezaje kubadilika?

Nawezaje kubadilika?

heee, kumbe tupo wengi? nilidhani ni mimi mwenyewe...afadhali sasa nimefarajika kwa kuwa nilidhani niko peke yangu.

hahahaha! ngoja nicheke kwanza.....

naomba nikuswalike swali CL: Je, huwa wewe ni mwepesi wa kutoa vitu tu au huo udhaifu wako upo hata kutoa papuchi? please reply.

Mkuu nahisi unahitaji jibu ya NDIO basi ngoja nikujibu NDIO ili uridhike....
 
Jitahidi walau uweke kaukatili kidooogo tu;
Hata kama haujazaliwa nao lakini jaribu tu kuapply.

Mara zote watu wa hivyo huwa hatufanikiwi sana kimaisha;
Nimejifunza sana kutokana na hilo.

Asante kwa ushauri mkubwa Mamie... Ndio naanza kuona kwanini Tajiri haachi hata 200/= yake!
 
huwezi balika hiyo ni mipango ya mungu......fanya wema sepa.....napitaaaaaaaaaaaaa
 
Unapoomba kitu kwa kawaida kuna mawili...kukubaliwa na kukataliwa...sasa unaposema unaenda kumuomba mtu kitu halafu unahisi uwezo anao na wakati ameshakuambia hana hapo si mnatafutana ubaya??? Shida inaanza pale mtu anakua na majibu yake kichwani tayari halafu anataka majibu ya kichwani kwake ndo apewe....
 
Eeeeee makubwaa nishachambwaa wapii miee ,!!!?umbea umenifundisha we ni mwalimu wangu,halaf shoga mi wa ninii,wa mtaani wananitosha hapa tunapiga udaku tu ili siku ipite

Ebu njoo kule pm, acha mbwe mbwe binamu
 
Matola mwongo hata hela ya vocher anapewa na shemeji yake...hapa anatafta kiki hilo tutusa
 
Last edited by a moderator:
Kuwa na msimamo katika maamuzi, usitende jambo kutegemea fadhila kwani binadamu twatofautiana...Una moyo wa huruma mh!
 
i think mtu anazaliwa nacho/kiko kwenye damu ni ngumu kubadilika,mimi imekuwa inanitokea sana,hadi watu wangu wa karibu wananisema kuwa sikomi,yani nakuwa mwepesi sana kumuamini mtu anaponilalamikia shida,na inakuwa vigumu kumkatalia,mtu analalamika ana shida na kiasi fulani,anaahidi kunirudishia kipindi fulani lakini unakuta harudishi au anarudisha pungufu,lakini atatokea mwingine ntamsaidia tena na wakati bado kuna madeni sijarudishiwa,hadi huwa sijielewi kwa kweli,au naweza kumsaidia mtu kitu kitakachoni cost hata muda & ela,kwa mtu wangu wa karibu kumkatalia kitu ambacho naona naweza kumsaidia huwa nashindwa kabisaaaaaaaaa
 
Hujachelewa kabisa;
Mie niliamua kuwa from jan this year
sitaangalia kitu zaidi ya msiba na ugonjwa;

But imekaa vizuri tu, naona kama naweza kufanya
kitu ninachopenda kukifanya.

[/B]
Mamndenyi hapa umeongea kapoint maana na mimi nimekuwa na hii tabia sana lakini naona kama na-step back vile.

Ebu nianze kuaply ushauri wako aisee, i hope sijachelewa
 
zamani nilikuwa kama wewe ila siku hizi nimekuwa mgwadu. kauzu kama dagaa. fanya yaliyo ndani ya uwezo wako daughter, ukijitoa sana kwa mtu ndio madhara yake hayo maumivu.

mkuu, itabidi nami niwe kama wewe. afu watu wakikuona unatoa misaada sana hutumia nafasi hiyo kukuzika hela. kuna jamaa nimemdai hela zangt
hadi nimeamua kumuacha. hela anazo lakini hataki kunilipa. ogopa sana hao watu wanaopenda kupokea misaada kutoka kwa watu wengine--wao ni wagumu sana kutoa vya kwao au kulipa madeni halali waliyokopa. dunia hii ni ya ajabu sana.
 
some how, lakini hili si kweli labda umtolee Mungu kwenye nyumba za ibada, binadamu wanaudhi sana.

mimi nimemuelewa vyema mleta mada na hii tabia imeshanigharimu sana nimefikia hata hatuwa ya kuwa gurentee wa watu kwenda kukopa mikopo isiyo na riba kwa makubaliano pesa isipolipwa deni linahamia kwangu.

watu hawako fair kabisa dunia hii tena mijitu mishenzi ya tabia ndio inayofanikiwa haraka hovyo kabisa.

kwakweli moyo wa kujitoa kama siku za nyuma nitakuwa nao kwenye special case tu na niguswe kweli kwa sababu mara nyingi shida zangu nimekuwa nikizimaliza mwenyewe.

well said mkuu. naona hata mimi umenisemea pia. baadhi ya mijitu siyo ya kuiendekeza--inaudhi sana. mimi nishazikwa hela nyingi sana na watu lakini mimi nikipata shida hawanisaidii hata kidogo ijapokuwa wana uwezo wa kunisaidia.
 
last time nilikuwa na viela si vya kuweka benki sasa kuna mshkaji ana biashara zake nikawa nimeshamsoma ana financial harassment inamsumbuwa kuwalipa casual Labour wake, nikamwambia mimi nina pesa hapa ila nina kazi nayo tarehe fulani utakuwa umeshakaa sawa nikupe hii, alifurahi sana nimempa ndio kimoja na niliambulia 50, 000/= tena hii ilibidi niombe kwamba nina shida na sina pesa. imagine pesa yangu halafu kulipa liwe ombi?

kukopa harusi kulipa matanga. halafu haya mambo yako hivi: watu wanaopenda kupokea kutoka kwa wenzao, ni wagumu sana kutoa. hata wakikopeshwa kulipa inakuwa mbinde. hiyo ndio principle.
 
Hhahaha Bi Mkubwa wako yuko kama wangu.... mpaka tukamuita "Mkatoliki" nyumba haikauki wageni hasa wa mwisho wa mwezi.....

Wageni wanajaa wanalala hadi sebuleni...

Tulipoyumba weeeee walitutetaje... hadi kijijini

Tukaja tukanyanyuka hao wakarudi...Bi Mkubwa akasamehe kabisaaaa wala hana hata kinyongo hahahahah

Ikabidi watoto tuitane kikao cha dharura aisee...haiwezekani tujinyime wazee waishi vizuri halafu wengine watuletee udwanzi wakati tukipata shida hatuwaoni.... kikao kikaamua kila mtu atimuliwe... imagine mtu kaja simply kachoka kukaa kijijini...au anaacha mke anakuja "kupumzika"

Tulitimua woteeeeee

Ndo maana nakwambia njoo nikufundishe ubandidu... tena unamkatalia mtu huku umeweka sura ya huzuni kuonyesha upo pamoja nae ktk wakati mgumu anaoupitia

mkuu, umenifundisha somo muhimu sana. eti mtu anaacha mke kijijini anakuja kupumzika mjini? timulia mbali!!!!!
 
Pole sana....

Kibongobongo ukikopesha hesabu kama umetoa sadaka tu..... kurudi majaliwa

ndio maana nimeacha kukopesha. mtu akiniomba nimkopeshe 3k naahidi kumsaidia 1k tunamalizana na kusahauliana for good. nakuwa nimeokoa kudhulumiwa 2k.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom