Nawezaje kubadilika?

Nawezaje kubadilika?

Mimi naomba uniuzie kiduchu Kaunga!
Nikupe bure hata si kukuuzia. Yaani being a last baby sijui ndio imeongeza maana siku zote l expect people to do things for me. Na kupokea naona kama nawapa favor vile, l am learning to give. Mf: juzi tu ndio nimemnunulia zawadi kaka yangu tangia nizaliwe. Sikopeshi mtu zaidi ya laki 2; labda ndugu wa kuzaliwa nawe. Mwanaume ndio anaumia, hata nikiwa na mil 10 bank ila wajibu wake wa kunitoa out uko pale hata kama ana laki 2 tu bank.

Nastruggle kuinvoke the African hospitality kama inavyoelezewa na Beatus Katululu ktk kitabu chake The spirituality of hospitality: African and New Testimony perspectives.
 
Last edited by a moderator:
Nikupe bure hata si kukuuzia. Yaani being a last baby sijui ndio imeongeza maana siku zote l expect people to do things for me. Na kupokea naona kama nawapa favor vile, l am learning to give. Mf: juzi tu ndio nimemnunulia zawadi kaka yangu tangia nizaliwe. Sikopeshi mtu zaidi ya laki 2; labda ndugu wa kuzaliwa nawe. Mwanaume ndio anaumia, hata nikiwa na mil 10 bank ila wajibu wake wa kunitoa out uko pale hata kama ana laki 2 tu bank.

Nastruggle kuinvoke the African hospitality kama inavyoelezewa na Beatus Katululu ktk kitabu chake The spirituality of hospitality: African and New Testimony perspectives.

Hebu nikopeshe buku mbili basi ...!!
 
Pole charming lady,hiyo ni tabia njema usiwaze tenda wema nenda zako.
 
Mshukuru Mungu, that's good.Usiombe iyo tabia ife endelea tu.
 
Ushajua tatizo kaza roho....

Jifunze ubinafsi.....

Ujijali mwenyewe...

Na kabla hujajitoa utafakari sana negatives ya unalotaka kukifanya

Na kama upo free kuwa busy huo muda wala hutokua nao
 
Haipaswi kukuumiza wala kusubiri malipo we endelea tu. Halafu shosti nina shida kweli ngoja nikurukie hewani...
 
Njoeni niwafundishe ugaidi

Nitashukuru, ila sijui kama ntafuzu manake nahisi hii tabia nimerithi...
Bi mkubwa ana roho nzuri sanaa, lakini Mzee alikuwa gaidi kupita maelezo...sijui kwa nini sijarithi kwa mzee...
So itakuwa nimerithi kwa bi mkubwa....
 
Nitashukuru, ila sijui kama ntafuzu manake nahisi hii tabia nimerithi...
Bi mkubwa ana roho nzuri sanaa, lakini Mzee alikuwa gaidi kupita maelezo...sijui kwa nini sijarithi kwa mzee...
So itakuwa nimerithi kwa bi mkubwa....

Pole inabidi ujifunze kukaza roho

Weka uso wa mbuzi
 
Tunafanana....tungoje ushauri.

Me nimejitahidi kujifunza roho mbaya but nimeshindwa.

nami nna shida nawewe twende pm kim nana.
Najua kuna sehemu hua tunakwenda wote lakini tunaingia na kukaa sehemu tofauti.
 
Usitafute solution wala iyo inakujengea mazingira mazuri yakufanikiwa kimaisha,
kwan kila unapotoa umekuwa umewekeza,
lakini saidia panapo stahiri sio kila kitu,
kutoa ni moyo nasio utajiri.
 
Tenda wema uende zako,walimwengu wa sasa hawana fadhila
 
Ushajua tatizo kaza roho....

Jifunze ubinafsi.....

Ujijali mwenyewe...

Na kabla hujajitoa utafakari sana negatives ya unalotaka kukifanya

Na kama upo free kuwa busy huo muda wala hutokua nao

unampoteza sasa
 
Nikupe bure hata si kukuuzia. Yaani being a last baby sijui ndio imeongeza maana siku zote l expect people to do things for me. Na kupokea naona kama nawapa favor vile, l am learning to give. Mf: juzi tu ndio nimemnunulia zawadi kaka yangu tangia nizaliwe. Sikopeshi mtu zaidi ya laki 2; labda ndugu wa kuzaliwa nawe. Mwanaume ndio anaumia, hata nikiwa na mil 10 bank ila wajibu wake wa kunitoa out uko pale hata kama ana laki 2 tu bank.

Nastruggle kuinvoke the African hospitality kama inavyoelezewa na Beatus Katululu ktk kitabu chake The spirituality of hospitality: African and New Testimony perspectives.

Kabla hujaandika hapa ungeniuliza wewe una tabia gani kwnye utoaji ningekujibu kama ulivyoandika!!!
Yaani naweza kumjua mtu 'mtoaji' kiasi fulani kupitia maandishi yake!

By the way......nilkuwa Kigoma nikakutafuta kuanzia Ujiji mpaka Uvinza sijakuona, nilkuwa nauliza 'mmeshamwona yule dada wa kinyamwezi aliyejaaliwa?'...holaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom