Husninyo
Platinum Member
- Oct 24, 2010
- 24,167
- 10,226
Njoeni niwafundishe ugaidi
mi ntakuja unibadili tabia, kuna kiroho flani cha huruma nahisi bado hakijaondoka fresh.
Njoeni niwafundishe ugaidi
ha haaaaa, kama unamkopesha ambaye ana shidwa haswaaaaaa, ni baraka
Aisee ngoja bas nikamate fursa niende zangu
mi ntakuja unibadili tabia, kuna kiroho flani cha huruma nahisi bado hakijaondoka fresh.
Wakati unamdai haukasiriki hata kidogo? Ndio maana mimi sikopeshi zaidi ya 200,000 maana hata asiponilipa siumii. Zaidi ya hapo nitakasirika baadaye kusononeka. Na hasira ni mzizi wa dhambi.
Baraka kwangu ni kumpa muhitaji ambaye hana uwezo wa kunilipa zaidi ya kusema "ubarikiwe".
BTW hujambo bibiye?
fanya fasta maana nikipata kozi ya ugaidi kwa BADILI TABIA utakuwa ushachelewa
Habari za jumapili wadau wa jukwaa hili....
Hii tabia imenishinda kuacha, iko hivi....
Iwapo akatokea mtu wangu wa karibu iwe mpenzi/mshikaji/shost ana shida fulani huwa nakuwa mwepesi sana kumsaidia hata kama itanicost kifedha, muda hata nguvu huwa najitahidi sana kumsaidia....
Hata kama niko kazini, niko radhi nitoroke nikamsaidie mtu, kwa mpenzi ndio kabisa nashindwa kujizuia. Nitadanganya hata msiba ilimradi tu nikamsaidie atakacho.
Either kazi flan au kumpeleka mahali fulani au kumfatia kitu fulani. Lakini in returns sasa wananifanyia ndivyo sivyo, huwa napatwa hasira weee nachukia ila baada ya muda nasahau na kuendelea vivyo vivyo.
Unaweza kuwa na shida ukamfata mpenzi, mshikaji / shost kumueleza lakini akadai yuko busy au hana pesa labda, ilhali unafahamu kabisa ana uwezo wa kukusaidia. Mtu huyo huyo hapo baadae anakufata umsaidie wakati yeye huwa hakusaidii ukiwa na shida.
Nifanyeje niiache hii tabia, make inanicost ila nimekuwa kichwa ngumu kuishinda!
Wasalaam
CL
sijambo bidada, wewe?Wakati unamdai haukasiriki hata kidogo? Ndio maana mimi sikopeshi zaidi ya 200,000 maana hata asiponilipa siumii. Zaidi ya hapo nitakasirika baadaye kusononeka. Na hasira ni mzizi wa dhambi.
Baraka kwangu ni kumpa muhitaji ambaye hana uwezo wa kunilipa zaidi ya kusema "ubarikiwe".
BTW hujambo bibiye?
Nakumbuka ulivyochukua sabbatical leave away from JF baada ya kulizwa. Hiyo haijakufundisha tu? Sasa watu kama ninyi, unapomkopa mtu; chukulia unampa tu. Akikurudishia hewala, asipokurudishia pia hewala. Sonono sio nzuri inaondoa Baraka ambazo ungezipata kwa kudhulumiwa.
Ee bana BADILI TABIA naomba uicheleweshe kidogo hiyo kozi kama vp isomwe next semista
tupo wote, mi sahv sitoi toi hovyo. halafu za kunikimbia sist kaunga?
bora utowe kikojoleo ujuwe ulipata starehe yako kuliko pesa hovyo kwa manyang'au.
me naroho mbaya cjui kwa nn
fanya fasta maana nikipata kozi ya ugaidi kwa BADILI TABIA utakuwa ushachelewa
Wakati unamdai haukasiriki hata kidogo? Ndio maana mimi sikopeshi zaidi ya 200,000 maana hata asiponilipa siumii. Zaidi ya hapo nitakasirika baadaye kusononeka. Na hasira ni mzizi wa dhambi.
Baraka kwangu ni kumpa muhitaji ambaye hana uwezo wa kunilipa zaidi ya kusema "ubarikiwe".
BTW hujambo bibiye?
sist Kaunga lile somo nilijifunza kweli. mwaka jana kuna mwingine aliniambia nimkopeshe laki afanye nauli akirudi huku atanipa. nikamwambia sina, baada ya kama wiki tatu akaniambia yupo home ila anaumwa sana. nikamuuliza umeanza kuumwa lini akanambia ana zaidi ya mwezi maana alianza kuumwa huko alipokuwa.
nikajiuliza hivi ningemdai vipi ile laki na mtu naumwa hivi, alinitumia na picha zake whatsapp hadi chozi lilinitoka. atanisamehe kama atajiskia vibaya akinisoma hapa. ni ushuhuda tu wa somo nililojifunza.