Nawezaje kubadilika?

Nawezaje kubadilika?

Kusaidia ni kuzuri sana ila kuwa na kiasi kwa kila jambo ni muhimu sana kwenye maisha
 
Ndivyo binadamu tunavyopaswa kuwa. Na ndivyo maandiko ya dini yanavyotaka, giving what you cherish the most without expecting anything in return.
Sikushauri ubadilike, na l wish ungeniambukiza hiyo roho ningefurahi sana. Maana I am struggling to punguza uselfish.
 
Utaishia maskini ukitoa msaada kuzidi uwezo hasa kama unaowasaidia hawatambua msaada wako. Watch out!
 
Mdogo wangu charminglady,

Kuna vitu unaweza kuhangaika navyo na kuna vitu vitakufanya kichaa ukijaribu tu kuvifanya.

Kwa kuwa hiyo ndiyo tabia yako, endelea nayo ila unaweza kufanya marekebisho machache. Mfano, kama uko kazini basi kaza roho usitoke ila tafuta mbinu nyingine ya kumsaidia huyo mtu anayeomba msaada wako. Kama ni fedha, jitahidi kuzicommit kwenye vitu vingine ili usiwe na pesa zilizokaa kaa bila majukumu ambazo mara nyingi ndizo tunaishia kuwapa watu wasio na shukrani. Mfano, chukua mkopo mkubwa bank ufanye kitu cha maana ili muda wote uwaze kurudisha mkopo. Na mwisho unapomsaidia mtu basi jitahidi kusahau kila kitu pale pale ili usiumie sana unapokosa support yake.

Dunia ndivyo ilivyo na wengine sasa tumeweza kubadilika walau kidogo. Mtu unasaidia watu wengine hadi unahisi kuathiri ustawi wako na familia. With time, tumeweza kubadilika kiasi!
 
Last edited by a moderator:
Usibadili tabia...badili watu wa kuwaweka Karibu...tafuta unaofanana nao


Utawatoa wapi mkuu?

Binafsi ilibidi nijaribu kubadilika ila ni ngumu sana. Yaana inakuwa kama watu wanatake advantage. Best friends zako hawawezi kukutafuta au kukusaidia. Ila wakipata shida kidogo tu, hao wanakutafuta utadhani wewe ndiye mkombozi pekee uliyebaki.

I had to leave most of them na sasa nimezoea kukaa hata mwaka bila kuwatafuta kwenye simu. Ila bado wakija na matatizo yao wakati mwingine naingia mkenge! Yakishaisha tunarudi kule kule!

Na jambo gumu kudeal nalo!
 
Unaweza kuwa na shida ukamfata
mpenzi, mshikaji / shost
kumueleza lakini akadai yuko busy
au hana pesa labda, ilhali
unafahamu kabisa ana uwezo wa
kukusaidia. Mtu huyo huyo hapo
baadae anakufata umsaidie wakati
yeye huwa hakusaidii ukiwa na
shida.&&&&&

jaman hata mim nadhani nina tabia hiyyo sijui huwa nakurupuka ktk kutenda au ni vip inaweza tokea namdai mtu ambaye amenisumbua sana na nikapanga kuwa nikifika kwake lazima kieleweke

lakin naweza fika kwa mbwembwe na akishajitetea nakuwa mpole kuna mmoja namdai toka mwaka jana mwez wa 11 bt had leo ni utata nalipwa kidogo kidogo kama pesa ya kununulia ujugu kiukweli naumia juz kat kanambia atanipa nilipomshtua kanambia anauguliwa na mama yake ikabid nitulie tyu bt huwa naumia sana
 
sure ,CL azidi kuichochea hii tabia na sio kuizima.Lakini pia amuombe Mungu amuongoze maana wasaidiwaji wengine ni mawakala wa mwovu.Nishasikia habari za kutisha kuhus kusaidia.
Ndivyo binadamu
tunavyopaswa kuwa. Na ndivyo maandiko ya dini yanavyotaka, giving what
you cherish the most without expecting anything in return.
Sikushauri ubadilike, na l wish ungeniambukiza hiyo roho ningefurahi
sana. Maana I am struggling to punguza uselfish.
 
wala usiache hiyo hali bibie ,,,,,,, mimi mama yangu alikuwa hivyo kabisaa , japo sisi watoto tulikuwa tunakasirika sana na kununa kwani hali hiyo ilikuwa inatuathiri mpaka sisi watoto wake kwa kutupa shida wakati uwezo upo.......... ilienda taratibu tukaanza kumuondoa kwenye hiyo roho ya kusaidi mpaka sasa hivi tunajuutaa kwanini tusingeendelea kumsapoti kwa hiyo tabia yake.
 
Yani kwangu ni kama vile huo msemo haupo...wakati nipo chuo nlikuwa nagawa bum looote, kiasi kwamba sijui wiki itayofuatia nakula nini....
Mtu akiumwa hostel nitauguza kama me ndo nesi wa zamu, tena kwa gharama zangu...
Sasa ngoja majanga yanifike....simuoni shosti wala ndugu.....! Yani mpaka nabaki nalia tu....!

teh! wanawake wenye roho nyepesi nyepesi kama hiyo yako huwa napenda walilie begani kwangu..........
 
Hiyo ni karama umepewa na mwenyezi Mungu. Usibadilike saidia ila jiwekee kiwango cha kusaidia
 
Utawatoa wapi mkuu?

Binafsi ilibidi nijaribu kubadilika ila ni ngumu sana. Yaana inakuwa kama watu wanatake advantage. Best friends zako hawawezi kukutafuta au kukusaidia. Ila wakipata shida kidogo tu, hao wanakutafuta utadhani wewe ndiye mkombozi pekee uliyebaki.

I had to leave most of them na sasa nimezoea kukaa hata mwaka bila kuwatafuta kwenye simu. Ila bado wakija na matatizo yao wakati mwingine naingia mkenge! Yakishaisha tunarudi kule kule!

Na jambo gumu kudeal nalo!

Babu asante kwa ushauri wako... Yaani uko kama mimi kabisa. Huwa najitahidi kuwa kauzu ila wakati mwingine nahisi kama najibana. All in all nitajitahidi kufuata ushauri wako!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom