CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,254
- 12,872
- Thread starter
- #81
ha haaa, yaani charminglady upo opposite kabisa na mimi.
mimi kwanza nalalia tumbo (kifudifudi), halafu ninapolala ndo nitaamka hapo hapo.
kama nalala mwenyewe kitandani naweza kaa wiki nzima bila kutandika kitanda na ukiingia chumbani utafikiri kitanda hakikulaliwa. wakati mwingine najiuliza kama nakuwa nimelala au nakuwa nime-RIP?
ukipata mwenza itabidi uwe unalala ukutani ili usianguke, lol!
pole sana kwa kung'atwa na mbu
Asante dada mkubwa... mie huwa nina shughuli ya kuzunguka kitanda. Tena some times huwa najikuta nimetupilia shuka mbaaaalii.....
Last edited by a moderator: