Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
hv jamani kuna ubaya mtu akiweka picha yake ya ukweli ? tuwe real jamani mimi naweka kwenye profile yangu leo sidaiwi na mtu wala simuogopi mtunimechoka kuishi kifekifeki ila mkiniona msishtuke jinsia ndo iyo iyo
hudaiwi wala nini! Mimi nimeshaweka yangu tayari. Hiyo ni halisi, na ilipigwa nikiwa nimelala kweli, darasani baada ya kushiba wali wa Mama Brenda pale Azania Sekondari, aliyefanya hiyo snapshot alikuwa Erick Gamba, my classmate!