Nawaza sana Uzee wangu utakuwa wa namna gani

TUKANA UONE

JF-Expert Member
Jan 3, 2018
1,816
5,151
Ukihitaji salamu subiri kwanza nizeeke,sasa hivi utaula wa chuya!

Nawaza sana endapo Mungu akinipa Umri mkubwa wa Kuishi,sijui uzee wangu utakuwa wa namna gani!😩

Je, nitadharaulika kama baadhi ya wazee leo wanavyodhaurika?

Je, nitakosa thamani kama wazee wengine wanavyokosa thamani miongoni mwa watu!

Je, nitatembelea makalio kwa kujikongoja kama wafanyavyo baadhi ya wazee?

Je, Sura yangu itakuwa na muonekano mbaya kama wazee wengine?😩

Je, sitaweza kuendesha gari kama niwezavyo hivi sasa?

Je, pisi kali zote zitakuwa zinaniona mimi takataka "Ushazeeka babu rudi kwa bibi"😩

Je, nitaandamwa na magonjwa ya uzeeni?

Je, Ngozi ya mwili wangu itakosa Nuru?

Je, Nitakuwa natukanwa na Wajukuu wangu?

Je, nitaendelea kusikiliza Nyimbo za kina Diamond na Harmonize au nitakuwa nasikiliza kina Sikinde na Msondo?

Je, nitaendelea kuvaa nguo na mitindo ya kisasa au nitarudi kuvaa mabwanga ili kujipatia heshima kwa jamii?😩

Je, nitaendelea kuwachapa mademu wazuri au ndiyo sitoweza kusimamisha tena ?😩

Yaani nawaza namna nitakavyokuwa naitwa na majirani "Wewe mzee TUKANA UONE habari za hapo kwako"

Yaani eti nikifungua kiduka kwangu utakuwa unasikia jirani anamtuma mwanaye "Wewe Amina nenda hapo kwa Mzee TUKANA UONE ukaniletee kiberiti na dawa ya mbu" 😩😩

Eeeh Mungu kabla sijafika huko tafadhali nilaze tu maana sitaki kusubiri kuona navyokuwa mzee mimi 😭
 
Jitathimini kwa umri wako ukipita mtaani wale unaowazidi umri wanakupa heshima gani? Kama hata shikamoo hupati uwe na uhakika ukiwa mzee utadharauliwa hata na kuku!
 
Zamani niliwaza kama wewe hadi baada ya kugundua kuwa ni ujinga kuwaza mawazo au mambo ambayo huna control nayo. Ishi na furahia wakati uliopo ukijiandaa na wakati ujao.

Uoga wako utakutesa sana na pengine na utaishia kupata msongo wa mawazo. Wewe ni matokeo ya mbegu moja zaidi ya milioni zilizoshindwa kwa hiyo wewe ni mshindi.
 
Ujana wako ndio utaamua uzeeni uishi vipi,kukaa kwenye vijiwe by kahawa au ukacheze Gofu na kupush land cruiser v8
 
Ukihitaji salamu subiri kwanza nizeeke,sasa hivi utaula wa chuya!

Nawaza sana endapo Mungu akinipa Umri mkubwa wa Kuishi,sijui uzee wangu utakuwa wa namna gani!

Je, nitadharaulika kama baadhi ya wazee leo wanavyodhaurika?

Je, nitakosa thamani kama wazee wengine wanavyokosa thamani miongoni mwa watu!

Je, nitatembelea makalio kwa kujikongoja kama wafanyavyo baadhi ya wazee?

Je, Sura yangu itakuwa na muonekano mbaya kama wazee wengine?

Je, sitaweza kuendesha gari kama niwezavyo hivi sasa?

Je, pisi kali zote zitakuwa zinaniona mimi takataka "Ushazeeka babu rudi kwa bibi"

Je, nitaandamwa na magonjwa ya uzeeni?

Je, Ngozi ya mwili wangu itakosa Nuru?

Je, Nitakuwa natukanwa na Wajukuu wangu?

Je, nitaendelea kusikiliza Nyimbo za kina Diamond na Harmonize au nitakuwa nasikiliza kina Sikinde na Msondo?

Je, nitaendelea kuvaa nguo na mitindo ya kisasa au nitarudi kuvaa mabwanga ili kujipatia heshima kwa jamii?

Je, nitaendelea kuwachapa mademu wazuri au ndiyo sitoweza kusimamisha tena ?

Yaani nawaza namna nitakavyokuwa naitwa na majirani "Wewe mzee TUKANA UONE habari za hapo kwako"

Yaani eti nikifungua kiduka kwangu utakuwa unasikia jirani anamtuma mwanaye "Wewe Amina nenda hapo kwa Mzee TUKANA UONE ukaniletee kiberiti na dawa ya mbu"

Eeeh Mungu kabla sijafika huko tafadhali nilaze tu maana sitaki kusubiri kuona navyokuwa mzee mimi
Basi una tatizo mahali katika saikolojia yako!

Ungelijua thamani aipatayo mzee anayejaliwa maisha marefu kuliko mtu anayekufa kijana wala usingelithubutu kuandika mawazo yako hayo.

Watu wengi wanadanja chini ya umri wa 60 wakiwa katika harakati za ku sattle maisha yao kabla hawajajiandaa kiroho.

Sasa wewe mfano Mungu akupe 70, 80 huko hujajiandaaga tu na safari isiyo isiyo na mwisho?

Kukaa mpaka ukauona uzee wako kwenye dunia hii iliyojaa changamoto lukuki za kimaisha ni zawadi na thawabu.

Hayo ya kusema makunyazi, magonjwa hayajawa sababu ya kuuchukia uzee kwa sababu kwani ni vijana wangapi wanaoishi kwa afya zenye migogoro bila kuonja wala kufurahia maisha yao?

Omba Mungu akuhifadhi na uishi kwa heri kadri alivyokupangia.

Jiwekee kinga za kiuchumi kukufanya uishi maisha yenye staha mpaka mwisho wa maisha ya duniani na siyo lazima utajirike.

Maneno huumba, nakushauri tengua kauli yako hii ya kufuru.

Mungu asije kukuchukua kibabe ghafla hata mabarabarani huko ukaacha wanao bila maandalizi yoyote.
 
Me nasubiri kama kutakuwa na reincarnation basi niwe tu RAMBO ni deal na wa Vietnam huko porini
 
Zamani niliwaza kama wewe hadi baada ya kugundua kuwa ni ujinga kuwaza mawazo au mambo ambayo huna control nayo. Ishi na furahia wakati uliopo ukijiandaa na wakati ujao.

Uoga wako utakutesa sana na pengine na utaishia kupata msongo wa mawazo. Wewe ni matokeo ya mbegu moja zaidi ya milioni zilizoshindwa kwa hiyo wewe ni mshindi.
Safi sana mkuu, ungemtandazia data namna alivyopatikana kibaiolojia apate kujithamini na kujiona yeye mshindi kama ulivyoeleza, tena amshukuru baba yake hakuwa mwanachama wa chaputa ili siku nyingine asije kurudia kukufuru.
 
Ukihitaji salamu subiri kwanza nizeeke,sasa hivi utaula wa chuya!

Nawaza sana endapo Mungu akinipa Umri mkubwa wa Kuishi,sijui uzee wangu utakuwa wa namna gani!😩

Je, nitadharaulika kama baadhi ya wazee leo wanavyodhaurika?

Je, nitakosa thamani kama wazee wengine wanavyokosa thamani miongoni mwa watu!

Je, nitatembelea makalio kwa kujikongoja kama wafanyavyo baadhi ya wazee?

Je, Sura yangu itakuwa na muonekano mbaya kama wazee wengine?😩

Je, sitaweza kuendesha gari kama niwezavyo hivi sasa?

Je, pisi kali zote zitakuwa zinaniona mimi takataka "Ushazeeka babu rudi kwa bibi"😩

Je, nitaandamwa na magonjwa ya uzeeni?

Je, Ngozi ya mwili wangu itakosa Nuru?

Je, Nitakuwa natukanwa na Wajukuu wangu?

Je, nitaendelea kusikiliza Nyimbo za kina Diamond na Harmonize au nitakuwa nasikiliza kina Sikinde na Msondo?

Je, nitaendelea kuvaa nguo na mitindo ya kisasa au nitarudi kuvaa mabwanga ili kujipatia heshima kwa jamii?😩

Je, nitaendelea kuwachapa mademu wazuri au ndiyo sitoweza kusimamisha tena ?😩

Yaani nawaza namna nitakavyokuwa naitwa na majirani "Wewe mzee TUKANA UONE habari za hapo kwako"

Yaani eti nikifungua kiduka kwangu utakuwa unasikia jirani anamtuma mwanaye "Wewe Amina nenda hapo kwa Mzee TUKANA UONE ukaniletee kiberiti na dawa ya mbu" 😩😩

Eeeh Mungu kabla sijafika huko tafadhali nilaze tu maana sitaki kusubiri kuona navyokuwa mzee mimi 😭
Utafika huko? si hamtaki uzee
 
Back
Top Bottom