Nawashangaa watu wachafu wanaohangaika kusafishiwa nyota wakati tatizo ni uchafu, kuoga na usafi wa mazingira ni shida. Nani umvutie?

NetMaster

JF-Expert Member
Sep 12, 2022
1,454
4,853
Tena ni hasa jamii flani ya sehemu flani (sio dini) nisingependa kuitaja kuna baadhi yao uchafu kwao ni suala la kawaida kabisa, mtu kuwa msafi ni kwa nje tu juu juu lakini usafi wa mwili na mazingira anayoishi upo chini mnoooo, atafukiza mamoshi ya udi kuondoa harufu, kuoga zinapita hata siku 3 yeye ananawa tu, chumbani uvunguni makopo na sahani. UCHAFU!

Ajabu ni pale pia wameendekeza mambo ya kuamini ushirikina wa kusafisha nyota, dawa ya kupendwa, mvuto wa biashara n.k. bize kutwa nzima kudhani wameibiwa nyota wakati ishu kuu ni uchafu, hivi kweli hata huko angani kungejaa taka na uchafu tungeweza kuziona nyota?

Na huwa siamini mambo ya majini lakini huku unakuta watu wanalalamika wana majini, niliwahi sikia majini hupenda kukaa sehemu chafu kama chooni, basi naona ya kwamba yatakuwa yanapenda kukaa pia kwenye miili michafu na vyumba vichafu.
 
Mafundisho ya NYOTA, LAANA, MIKOSI, NDOTO (japokuwa sio zote, zipo ndoto nzuri za kukupa ujumbe maalumu ) ni ya KITAPELI TU NA KUPATA PESA ZA WAJINGA.
 
Tena ni hasa jamii flani nisingependa kuitaja kuna baadhi yao uchafu kwao ni suala la kawaida kabisa, mtu kuwa msafi ni kwa nje tu juu juu lakini usafi wa mwili na mazingira anayoishi upo chini mnoooo, atafukiza mamoshi ya udi kuondoa harufu, kuoga zinapita hata siku 3 yeye ananawa tu, chumbani uvunguni makopo na sahani !! , UCHAFU !!

Ajabu ni pale pia wameendekeza mambo ya kuamini ushirikina wa kusafisha nyota, dawa ya kupendwa, mvuto wa biashara n.k. bize kutwa nzima kudhani wameibiwa nyota wakati ishu kuu ni uchafu, hivi kweli hata huko angani kungejaa taka na uchafu tungeweza kuziona nyota ??

Na huwa siamini mambo ya majini lakini huku unakuta watu wanalalamika wana majini, niliwahi sikia majini hupenda kukaa sehemu chafu kama chooni, basi naona ya kwamba yatakuwa yanapenda kukaa pia kwenye miili michafu na vyumba vichafu.
Nahisi unazungumzia Waislamu,
Ila tu nikuambie kuwa uchafu ni hulka ya mtu.

Halafu hao watu unaowasema ni kwamba hawajielewi hakuna jamii ambayo inahamasisha uchafu.

Kuhusu kufukiza, imani nyingi zinafukiza na kutumia vitu kama ubani na mishumaa kwenye ibada sio Waislamu peke yao.

Na kuhusu imani za majini hayo mambo sasa huwa yanapendwa sana uswahilini, kutokana na hali duni za maisha watu wanatafuta sababu ya kufeli kwao na kujikwamua wanaamini wamerogwa ndio wanaishia kuamini kuwa wametupiwa majini ilhali utakuta kuna sababu nyengine.

Halafu hii mada yako kama umeandika kwa nia ya kutuchokonoa badala ya kutoa elimu nikupe tu onyo kwa niaba ya wengi kuwa ACHA SHOBO NA Sisi, hatuzifagilii, tutue
 
Nahisi unazungumzia Waislamu,
Ila tu nikuambie kuwa uchafu ni hulka ya mtu.

Halafu hao watu unaowasema ni kwamba hawajielewi hakuna jamii ambayo inahamasisha uchafu.

Kuhusu kufukiza, imani nyingi zinafukiza na kutumia vitu kama ubani na mishumaa kwenye ibada sio Waislamu peke yao.

Na kuhusu imani za majini hayo mambo sasa huwa yanapendwa sana uswahilini, kutokana na hali duni za maisha watu wanatafuta sababu ya kufeli kwao na kujikwamua wanaamini wamerogwa ndio wanaishia kuamini kuwa wametupiwa majini ilhali utakuta kuna sababu nyengine.

Halafu hii mada yako kama umeandika kwa nia ya kutuchokonoa badala ya kutoa elimu nikupe tu onyo kwa niaba ya wengi kuwa ACHA SHOBO NA Sisi, hatuzifagilii, tutue
Nimesema jamii ya watu flani sio dini, waisalam wengi tu nawajua wasafi na wala sijawahi kuona suala la uchafu lipo kidini
 
You will stink, utanuka !!

Bad enough your nose will be used to that smell but people who bath everyday will notice and thats when they start categorizing you as a semi retard.
The solution is to clean our environment
 
Back
Top Bottom