"Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri - Kazi Iendelee" ifutwe tumrudie Mungu

Humu ndani kuna Mafala wengi sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hivi huyu atakua mlokole.

daaah!!!!
 
Kizuri ni kwamba huku unalalamika hakuna rais lakin umo ndani ya mamlaka yake kama wewe jeur jitokeze hadhari sema hakuna rais , kinacho wasumbua ni ukabila tu mliaminishwa kwamba sasa nchi hii imekuwa ya wasukuma na mkaanza kujipanga kutawala milele sasa mlicho kutana nacho ndo hicho kinawafanya hadi sasa hamuamini kwamba jiwe kweli kweli kesha kuwa unga kweli kweli.
Subiri maandamano makubwa nchi nzima hiyo tarehe 1 Julai ndipo utajua hujui na Bi Mkubwa wako
 
Kizuri ni kwamba huku unalalamika hakuna rais lakin umo ndani ya mamlaka yake kama wewe jeur jitokeze hadhari sema hakuna rais , kinacho wasumbua ni ukabila tu mliaminishwa kwamba sasa nchi hii imekuwa ya wasukuma na mkaanza kujipanga kutawala milele sasa mlicho kutana nacho ndo hicho kinawafanya hadi sasa hamuamini kwamba jiwe kweli kweli kesha kuwa unga kweli kweli.
Hapa unatania au unatoa mipasho?

Kama maneno uliyoandika hapo juu yametoka moyoni kwako basi ndio hukumu yako hiyo usije ukaijutia.

Usiingize ukabila wakati mtu anatoa maoni yake kwa uhuru hakuna sheria inayolazimishwa kufuata mtazamo wako usioeleweka na kuaminika.

Mnawatweza sana wasukuma, lakini watakapo waadhibu kwa uropokaji wenu msijilaumu kwa kuendekeza majivuno na dharau
 
Kama una hamu ya salamu za dini nenda kashinde kanisani kwako au msikitini kwako msalimiane siku nzima.
 
Napendekeza hii salamu ifutwe tumurudie Mungu. Sasabu nyingine ni hizi hapa.

1. Salamu ya Mungu inaliinua taifa. Mungu anakuwa karibu nasi siku zote hata kipindi cha Corona.

2. Salamu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kazi iendelee inakosa consistency. Tutajikuta kila awamu tunabadili salamu. Taifa lazima tuwe na salamu Moja kama alama yetu.

3. Hii salamu ya kazi iendelee haitikiwi na watu wote. Maana hii salamu inategemea na utendaji wa Kazi wa serikali na jinsi mtu anaridhika na hiyo Kazi. Kama Kazi hazitafanyika kiasi cha kuridhisha basi mtu hawezi kuitikia. Ila salamu ya Mungu wote twaitikia. Na wale wasio amini Mungu walishazoea.

Bwana Sifiwe-AsalamuAleikumu.
Usiwe unapinga kila kitu.
Utakuwa juha.
 
Hapa unatania au unatoa mipasho?

Kama maneno uliyoandika hapo juu yametoka moyoni kwako basi ndio hukumu yako hiyo usije ukaijutia.

Usiingize ukabila wakati mtu anatoa maoni yake kwa uhuru hakuna sheria inayolazimishwa kufuata mtazamo wako usioeleweka na kuaminika.

Mnawatweza sana wasukuma, lakini watakapo waadhibu kwa uropokaji wenu msijilaumu kwa kuendekeza majivuno na dharau
Wewee kwenda zako kule wasukuma walijiaminisha kwamba wamepata mungu wao wakamtia ujinga akajiona anaelekea kuwa mungu na kwa sababu mungu hataki wanafiki akamtwaa ,

Sasa hawa wasukuma walio baki ndio waendesha mijadala ya kumchafua mama samia na kupinga kila afanyacho hadi wanaenda mbali kusema hatoshi mara hafai na ndio vinara wa kukashifu serikali iliyopo madarakani ,ushamba wa wasukuma ni wakuzaliwa nao ni wa kihistoria huo kama vita ya Israel na Palestine hauto watoka kwame hadi kiama
 
Napendekeza hii salamu ifutwe tumurudie Mungu. Sababu nyingine ni hizi hapa.

1. Salamu ya Mungu inaliinua taifa. Mungu anakuwa karibu nasi siku zote hata kipindi cha Corona.

2. Salamu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kazi iendelee inakosa consistency. Tutajikuta kila awamu tunabadili salamu. Taifa lazima tuwe na salamu Moja kama alama yetu.

3. Hii salamu ya kazi iendelee haitikiwi na watu wote. Maana hii salamu inategemea na utendaji wa kazi wa serikali na jinsi mtu anaridhika na hiyo Kazi. Kama kazi hazitafanyika kiasi cha kuridhisha basi mtu hawezi kuitikia. Ila salamu ya Mungu wote twaitikia. Na wale wasio amini Mungu walishazoea.

Bwana Sifiwe, Asalamu Aleikumu
Na sio Bwana asifiwe pekee coz mabwana wako wengi tu, ni Bwana Yesu Asifiwe!
 
Dogo umechanganya madesa. Mtoa uzi anazungumzia salamu. Je, Rais akitoka Chadema naye ataitumia hiyo salamu? Kosa la Mama ni kuchanganya slogan yake "Kazi Iendelee" na salamu. Akina Obama, Trump hata Magufuli hawakufanya hivyo!

Tungendelea na salamu zile zile za "Tumsifu Yesu Kristo", Assalam Alleiykum", Bwana Asifiwe" ingekuwa poa tu. Kwanza tushazizoea. Pili zinatuweka karibu na Mungu. Au Mama anamuogopa Mungu?

Hii nchi ni ya watu wote sio waamini Mungu tu. Hivyo kunasibisha kila kitu na Mungu ni kuwakosea wasioamini uwepo wake. Na Mkiamua kumtaja Mungu watajeni miungu wote. Nilishajibu hili mstari wa kwanza tu. Hujui kusoma?
 
Hii nchi ni ya watu wote sio waamini Mungu tu. Hivyo kunasibisha kila kitu na Mungu ni kuwakosea wasioamini uwepo wake. Na Mkiamua kumtaja Mungu watajeni miungu wote. Nilishajibu hili mstari wa kwanza tu. Hujui kusoma?
Kwenye uzi huu Kuna mtu nimemuuliza, je, ni wakati sasa kuondoa maneno "Mungu Ibariki...." kwenye wimbo wetu wa Taifa?
 
Siku ile mbele ya baraza la maaskofu Rais alijitahidi sana kumtaja Yesu wakati akisalimia, akaweza pia kutaja vifungu mbalimbali vya kwenye Biblia wakati akijenga hoja zake.

Hii salam ya Jamhuri ya Muungano inampa amani kuitamka kuliko hizo za kidini. Kalelewa kiislam na ana haki ya kutokuwa comfortable anapozitumia salamu za kikristo. Mheshimiwa Majaliwa anazisalimia salamu za kikristo akiwa na amani kabisa, mke na mkristo.
 
Napendekeza hii salamu ifutwe tumurudie Mungu. Sababu nyingine ni hizi hapa.

1. Salamu ya Mungu inaliinua taifa. Mungu anakuwa karibu nasi siku zote hata kipindi cha Corona.

2. Salamu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kazi iendelee inakosa consistency. Tutajikuta kila awamu tunabadili salamu. Taifa lazima tuwe na salamu Moja kama alama yetu.

3. Hii salamu ya kazi iendelee haitikiwi na watu wote. Maana hii salamu inategemea na utendaji wa kazi wa serikali na jinsi mtu anaridhika na hiyo Kazi. Kama kazi hazitafanyika kiasi cha kuridhisha basi mtu hawezi kuitikia. Ila salamu ya Mungu wote twaitikia. Na wale wasio amini Mungu walishazoea.

Bwana Sifiwe, Asalamu Aleikumu
Kwanza kabisa, thibitisha Mungu yupo.
 
Naunga mkono hoja.


Mungu ndio kila kitu.

Muungano ni mambo ya kidunia zaidi.

SIIPENDI HII SALAMU BASI TU.
 
Nakuws nawaza Magu kusalimia kote vile na kwenda kanisani kumbe alikuwa na lake jambo....
SABAYA ALISAMIA SANA HZI SALAM HALAFU ANA**RA WANAFUNZI....
MWANASISA BORA ASITUMIE SALAAM YA DINI YEYOTE
 
Back
Top Bottom