42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,811
Akili za kuvukia barabara hizi.Ungekuwa kuku ungekuwa na kideri
Akili za kuvukia barabara hizi.Ungekuwa kuku ungekuwa na kideri
Sawa BashiteAkili za kuvukia barabara hizi.
Ukusoma andiko la ,"usilitaje jina la bwana mungu wako ovyo" , unajua hekima ya andiko hiloNapendekeza hii salamu ifutwe tumurudie Mungu. Sababu nyingine ni hizi hapa.
1. Salamu ya Mungu inaliinua taifa. Mungu anakuwa karibu nasi siku zote hata kipindi cha Corona.
2. Salamu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kazi iendelee inakosa consistency. Tutajikuta kila awamu tunabadili salamu. Taifa lazima tuwe na salamu Moja kama alama yetu.
3. Hii salamu ya kazi iendelee haitikiwi na watu wote. Maana hii salamu inategemea na utendaji wa kazi wa serikali na jinsi mtu anaridhika na hiyo Kazi. Kama kazi hazitafanyika kiasi cha kuridhisha basi mtu hawezi kuitikia. Ila salamu ya Mungu wote twaitikia. Na wale wasio amini Mungu walishazoea.
Bwana Sifiwe, Asalamu Aleikumu
Ni ushamba tu unakusumbua na mazoea mabaya, mungu hatukuzwi kwa salamu bali mungu anatukuzwa kwa matendo mema
Kuamini uwepo wa mungu sio kwa kusalimia bwana yesu asifiwe tu jinga wewe bali unashi maisha gani ya kukili uwepo na utii kwa mungu kwa matendo
Huyo aliye kuwa anasalimia kwa salamu dini zote alifanya kipi zaid ya kuteka na kuua na matusi ya jukwaani pamoja na kudhulumu haki za wengine? Acheni kuishi kwa kukalili.
Wala hawezi mtu kusema , Yesu ni Bwana, isipokuwa katika Roho Mtakatifu (1 Cor 3)Kuchukua salaam za kidini na kuzifanya salaam za kisiasa ni utapeli. Lini umeingia Msikitini ukamsikia Shehe/Imamu akisalimia Asalaam aleikum-Bwana Yesu asifiwe kwa pamoja, au vivyo hivyo kwa mapadri na Wachungaji? Sasa hili la kuchanganya salaam za madhehebu tofauti tena likifanywa kisiasa lina baraka gani?
Leo tumlazimishe Rais mwenye imani ya Kiislamu atoe salaam ya Kikristo hata kama imani yake binafsi haitambui kusifiwa kwa Yesu Kristo? Au tumwambie Makamu wa Rais aanze kusalimia kwa salaam iliyoasisiwa kiislamu wakati dhehebu lake haliitambui?
Kama ni hivyo itungwe sheria viongozi wote wa dini na waamini wao waswalipo/wasalipo wazitaje salaam zote kama mnavyotaka Viongozi wafanye majukwaani. Tusiwaache viongozi wabebe dhambi tusiyoitaka sisi kama ipo.
Ujinga tu unataka kulazimsisha wote waamini mungu kwani ni sheria ya nchi? Nchi hii haina dini na katiba inatambua hiloKwanza kusema nawasalimu kwa jina la Jamhuri maanake hatuamini uwepo wa MUNGU, ni dhihaka kubwa sn mbele za MUNGU.
1. Tungekuwa tunaamini wote kwenye Mungu mmoja mwenye sifa sawa ingewezekana lakini kila dini wanamwabudu Mungu mwenye sifa tofauti na mwingine.Napendekeza hii salamu ifutwe tumurudie Mungu. Sababu nyingine ni hizi hapa.
1. Salamu ya Mungu inaliinua taifa. Mungu anakuwa karibu nasi siku zote hata kipindi cha Corona.
2. Salamu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kazi iendelee inakosa consistency. Tutajikuta kila awamu tunabadili salamu. Taifa lazima tuwe na salamu Moja kama alama yetu.
3. Hii salamu ya kazi iendelee haitikiwi na watu wote. Maana hii salamu inategemea na utendaji wa kazi wa serikali na jinsi mtu anaridhika na hiyo Kazi. Kama kazi hazitafanyika kiasi cha kuridhisha basi mtu hawezi kuitikia. Ila salamu ya Mungu wote twaitikia. Na wale wasio amini Mungu walishazoea.
Bwana Sifiwe, Asalamu Aleikumu
Siajajua nia ilikuwa ipi, lakini salam hii inatukwaza wengi...Napendekeza hii salamu ifutwe tumurudie Mungu. Sababu nyingine ni hizi hapa.
1. Salamu ya Mungu inaliinua taifa. Mungu anakuwa karibu nasi siku zote hata kipindi cha Corona.
2. Salamu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kazi iendelee inakosa consistency. Tutajikuta kila awamu tunabadili salamu. Taifa lazima tuwe na salamu Moja kama alama yetu.
3. Hii salamu ya kazi iendelee haitikiwi na watu wote. Maana hii salamu inategemea na utendaji wa kazi wa serikali na jinsi mtu anaridhika na hiyo Kazi. Kama kazi hazitafanyika kiasi cha kuridhisha basi mtu hawezi kuitikia. Ila salamu ya Mungu wote twaitikia. Na wale wasio amini Mungu walishazoea.
Bwana Sifiwe, Asalamu Aleikumu
Basi tusalimiane tu habari za siku au hamjambo? Basi1. Tungekuwa tunaamini wote kwenye Mungu mmoja mwenye sifa sawa ingewezekana lakini kila dini wanamwabudu Mungu mwenye sifa tofauti na mwingine.
Basi tusalimiane tu habari za siku au hamjambo? Basi
Kasafishe kwanza njia yako kuu ya kupumulia ndiyo urudi hapaUjinga tu unataka kulazimsisha wote waamini mungu kwani ni sheria ya nchi? Nchi hii haina dini na katiba inatambua hilo
Mungu hatukuzwi kwa salamu bali matendo mema
Vipi yule aliye kuwa anasalimulia kwa salamu za kidini halafu anateka na kupoteza wapinzani wake?
Ujinga tu unataka kulazimsisha wote waamini mungu kwani ni sheria ya nchi? Nchi hii haina dini na katiba inatambua hilo
Mungu hatukuzwi kwa salamu bali matendo mema
Vipi yule aliye kuwa anasalimulia kwa salamu za kidini halafu anateka na kupoteza wapinzani wake?
Umenena mkuu.., yaonesha mleta mada ameubaka ufahamu wakeKuchukua salaam za kidini na kuzifanya salaam za kisiasa ni utapeli. Lini umeingia Msikitini ukamsikia Shehe/Imamu akisalimia Asalaam aleikum-Bwana Yesu asifiwe kwa pamoja, au vivyo hivyo kwa mapadri na Wachungaji? Sasa hili la kuchanganya salaam za madhehebu tofauti tena likifanywa kisiasa lina baraka gani?
Leo tumlazimishe Rais mwenye imani ya Kiislamu atoe salaam ya Kikristo hata kama imani yake binafsi haitambui kusifiwa kwa Yesu Kristo? Au tumwambie Makamu wa Rais aanze kusalimia kwa salaam iliyoasisiwa kiislamu wakati dhehebu lake haliitambui?
Kama ni hivyo itungwe sheria viongozi wote wa dini na waamini wao waswalipo/wasalipo wazitaje salaam zote kama mnavyotaka Viongozi wafanye majukwaani. Tusiwaache viongozi wabebe dhambi tusiyoitaka sisi kama ipo.
Kwani kusema Bwana Asifiwe nayo ni salamu?? Em tuweni serious kidogo jamaniNapendekeza hii salamu ifutwe tumurudie Mungu. Sababu nyingine ni hizi hapa.
1. Salamu ya Mungu inaliinua taifa. Mungu anakuwa karibu nasi siku zote hata kipindi cha Corona.
2. Salamu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kazi iendelee inakosa consistency. Tutajikuta kila awamu tunabadili salamu. Taifa lazima tuwe na salamu Moja kama alama yetu.
3. Hii salamu ya kazi iendelee haitikiwi na watu wote. Maana hii salamu inategemea na utendaji wa kazi wa serikali na jinsi mtu anaridhika na hiyo Kazi. Kama kazi hazitafanyika kiasi cha kuridhisha basi mtu hawezi kuitikia. Ila salamu ya Mungu wote twaitikia. Na wale wasio amini Mungu walishazoea.
Bwana Sifiwe, Asalamu Aleikumu