Nawapa wazo la biashara litakalobadilisha maisha yako 2023

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,483
40,498
Ulimwengu wa sasa ni waki-digitali; chochote unachokifanya, hakikisha kina sehemu kuu 3; -​
  • Biashara yenyewe​
  • Blog yake​
  • Youtube chanel yake​
Ikiwa na maana; kwenye biashara utapiga hela, youtube utapiga hela, na blog utapiga hela.

Mfano:-​
  • We ni mkulima wa mboga mboga​
  • Anzisha youtube, kuhusu hiyo bustani yako ya mbogamboga​
  • Anzisha blog kuhusu hiyo bustani yako ya mboga mboga​
Mfano:-
  • We ni mfugaji​
  • Anzisha youtube, kuhusu huo ufugaji​
  • Anzisha blog kuhusu huo ufugaji​
Mfano:-
  • We unafanya biashara ya mabasi (kusafirisha abiria)​
  • Anzisha youtube yake​
  • Anzisha blog yake​
N.k

Inaitwa kufanya biashara kisomi; nadhani nimeeleweka.​
 
Ulimwengu wa sasa ni waki-digitali; chochote unachokifanya, hakikisha kina sehemu kuu 3; -​
  • Biashara yenyewe​
  • Blog yake​
  • Youtube chanel yake​
Ikiwa na maana; kwenye biashara utapiga hela, youtube utapiga hela, na blog utapiga hela.

Mfano:-​
  • We ni mkulima wa mboga mboga​
  • Anzisha youtube, kuhusu hiyo bustani yako ya mbogamboga​
  • Anzisha blog kuhusu hiyo bustani yako ya mboga mboga​
Mfano:-
  • We ni mfugaji​
  • Anzisha youtube, kuhusu huo ufugaji​
  • Anzisha blog kuhusu huo ufugaji​
Mfano:-
  • We unafanya biashara ya mabasi (kusafirisha abiria)​
  • Anzisha youtube yake​
  • Anzisha blog yake​
N.k

Inaitwa kufanya biashara kisomi; nadhani nimeeleweka.​
Siyo kila kitu ni rahisi kihivyo.
 
kuna wadada fulani watatu wana youtube channel inaitwa liv kenya. nimewapenda ubunifu wanaoufanya. wanatalii sehemu mbalimbali halafu wana upload kwenye channel yao. wanapata viewers wakutosha tu.
Nimependa idea yao, natamani kui implement kwa hapa bongo.
 
kuna wadada fulani watatu wana youtube channel inaitwa liv kenya. nimewapenda ubunifu wanaoufanya. wanatalii sehemu mbalimbali halafu wana upload kwenye channel yao. wanapata viewers wakutosha tu.
Nimependa idea yao, natamani kui implement kwa hapa bongo.
Ukiamua inawezekana, ila mwanzo huwa mgumu
 
Una Alfu 3 kwanza kwanza apo nikapige wali marage mirinda mweusi ili tuje tuijadili vzr hii proposal yak yaani

1.hiyo biashara tutatumia mbinu gani ili iwe na mvuto wa kufuatiliwa huko sosho midia.

2.nitakua napost nini kila siku hiyo hiyo bustani au hilo duka.

3.......
Mfano bustani; uandaaji wa shamba, kuweka mbolea, kumwagilia, kupalilia, kuvuna, kupeleka sokoni, faida na hasara n.k unaweza ukawa unatengeneza clip ya dakika 10 kila baada ya siku 3 n.k
 
Kwa ufupi hivi vitu 3, vinakuwa vinabebana; na kila kimoja kinakuwa ni sababu ya kingine kupata pesa.
 
Mteja wa mbogamboga fungu 500 baada ya hapo anunue na bando kuangalia shamba lako la mboga kweli kiongozi?MB za internet wote tunajua bei zake.




Tunachokijua:
Watazamaji ni dunia nzima, muhimu maudhui uyapangilie vizuri
 
Wazo zuri ila sio kila biashara inaweza kutumia wazo husika.

Pia mara nyingi mawazo yanayowezekana kwenye nchi za wenzetu sio applicable huku dunia ya tatu.

Huku kwenye social media zinazobamba ni picha za nusu uchi, habari za umbea na tetesi pamoja na michezo ya mandonga, simba na yanga.
Uko sahihi; ukiingia kidigitali dunia nzima inakuwa inakutazama, muhimu upangilie vizuri maudhui yako pamoja na lugha
 
kuna wadada fulani watatu wana youtube channel inaitwa liv kenya. nimewapenda ubunifu wanaoufanya. wanatalii sehemu mbalimbali halafu wana upload kwenye channel yao. wanapata viewers wakutosha tu.
Nimependa idea yao, natamani kui implement kwa hapa bongo.
Bongoo utakoma mkuu

Sisi n ma hater ndio kwanza watu Wana dislike
 
Bongoo utakoma mkuu

Sisi n ma hater ndio kwanza watu Wana dislike
Nadhani ukisajili chanel yako nje, inaweza kuwa na tija zaidi kuliko huku; kwa sababu najiuliza kwanini you tubers wa nje wako vizuri?
 
Back
Top Bottom