Wazo la biashara kwa mtaji wa Tsh laki mbili tu

Mr sule

JF-Expert Member
Oct 14, 2021
607
1,097
Wakati nilipoanza biashara nilifeli sana tena nilipoteza mamilioni ya pesa. lakini huwa sijutiki kufeli kweli, elon ananikumbusha lazima tulipe gharama ya kugundua fursa. hapo ndo na mimi nambuka kumbe nimeshalipa gharama kufika hapa nilipofika.

Biashara uwa sio ngumu na hainga stress ila watu tu ndo uwa wanafanya biashara kuonekana ngumu. hayo ni maneno ya rafiki yangu Mchina wakati tukibadilishana mawazo ya kibiashara.

Biashara nyingi zinafel kukosa taarifa sahihi ya biashara. mtu anaamka leo kesho na yeye anaanza biashara. ukiona wasafi inawatazamaji wengi na wewe unaaza media yako bila kuwa na taarifa sahihi ya kitu unachoenda kufanya au hujuwi kwanini mmiliki wa wasafi ana hile media au kwanini ina watazamana wengi. yaan ujuwi lengo, au nyumba ya Wasafi kuna nini.

Acha kuwekeza pesa sehemu ambayo huna taarifa sahihi ya jumla kuhusu biashara unayoenda kufanya

Leo natumia uzoefu wangu katika biashara ni biashara gani unaweza kufanya kwa Tsh laki mbili na ukafika mbali sana.

Tunatumia vipi laki mbili kuanzisha biashara

Ingia alibaba
Nunua wired microphone pcs 50
IMG_9149.jpg

Ukinunua pcs $1.50 hivi jumla ni sawa na $75

Gharama ya kusafirisha kutoka China mpaka Tanzania ni kama $10

Fungua FB page, weka picha zako alafu fanya matangazo kweny FB kila siku Kwa hile $15 iliobaki muda wa siku 15.

Tumia njia zingine kutangaza biashara yako, mfano kwenda kwenda maduka na mtaani.

Bei ya kuuza ni Tsh 20-25 elfu.

Au nunua wiresless microphone
IMG_9148.jpg

Kwa Tsh $3-4. pcs 25 wewe uza 40-45 efu.

Hii soko lake ni kubwa sana na imenipa sana hela.

Kuna bidhaa nyingi ina soko kubwa na haiwez kukufelisha ila nimetoa mfano wa hzo mbili.
 
Wakati nilipoanza biashara nilifeli sana tena nilipoteza mamilioni ya pesa. lakini huwa sijutiki kufeli kweli, elon ananikumbusha lazima tulipe gharama ya kugundua fursa. hapo ndo na mimi nambuka kumbe nimeshalipa gharama kufika haa nilipofika.
Asante kwa haya madini chief
 
Wakati nilipoanza biashara nilifeli sana tena nilipoteza mamilioni ya pesa. lakini huwa sijutiki kufeli kweli, elon ananikumbusha lazima tulipe gharama ya kugundua fursa. hapo ndo na mimi nambuka kumbe nimeshalipa gharama kufika hapa nilipofika.
Asante boss
 
Wakati nilipoanza biashara nilifeli sana tena nilipoteza mamilioni ya pesa. lakini huwa sijutiki kufeli kweli, elon ananikumbusha lazima tulipe gharama ya kugundua fursa. hapo ndo na mimi nambuka kumbe nimeshalipa gharama
Habar....je kama nataka kununua kwa kikuu, inaezekana kuekewa vtu hvo vyote kwenye package moja ili kupunguza bei ya usafiri??
 
Wakati nilipoanza biashara nilifeli sana tena nilipoteza mamilioni ya pesa. lakini huwa sijutiki kufeli kweli, elon ananikumbusha lazima tulipe gharama ya kugundua fursa. hapo ndo na mimi nambuka kumbe nimeshalipa gharama kufika hapa nilipofika.

Biashara uwa sio ngumu na hainga stress ila watu tu ndo uwa wanafanya biashara kuonekana ngumu. hayo ni maneno ya rafiki yangu Mchina wakati tukibadilishana mawazo ya kibiashara.

Biashara nyingi zinafel kukosa taarifa sahihi ya biashara. mtu anaamka leo kesho na yeye anaanza biashara. ukiona wasafi inawatazamaji wengi na wewe unaaza media yako bila kuwa na taarifa sahihi ya kitu unachoenda kufanya au hujuwi kwanini mmiliki wa wasafi ana hile media au kwanini ina watazamana wengi. yaan ujuwi lengo, au nyumba ya Wasafi kuna nini.

Acha kuwekeza pesa sehemu ambayo huna taarifa sahihi ya jumla kuhusu biashara unayoenda kufanya

Leo natumia uzoefu wangu katika biashara ni biashara gani unaweza kufanya kwa Tsh laki mbili na ukafika mbali sana.

Tunatumia vipi laki mbili kuanzisha biashara

Ingia alibaba
Nunua wired microphone pcs 50
View attachment 2644870
Ukinunua pcs $1.50 hivi jumla ni sawa na $75

Gharama ya kusafirisha kutoka China mpaka Tanzania ni kama $10

Fungua FB page, weka picha zako alafu fanya matangazo kweny FB kila siku Kwa hile $15 iliobaki muda wa siku 15.

Tumia njia zingine kutangaza biashara yako, mfano kwenda kwenda maduka na mtaani.

Bei ya kuuza ni Tsh 20-25 elfu.

Au nunua wiresless microphoneView attachment 2644874
Kwa Tsh $3-4. pcs 25 wewe uza 40-45 efu.

Hii soko lake ni kubwa sana na imenipa sana hela.

Kuna bidhaa nyingi ina soko kubwa na haiwez kukufelisha ila nimetoa mfano wa hzo mbili.
Asante mwamba

Nimependa roho yako
 
One of the biggest mistake ni kuanzia biashara kwa kununua vitu kutoka alibaba au Amazon, hizi B2B, na e commerce websites, most of people walioko huko sio manufacturers. Cha kufanya kwa mtaji huo, ni Bora ukaangalia fursa Gani ziko kwenye eneo unalokaa, kipi hakipo na kinapatikana karibu.

Kabla ya kufanya biashara inabidi uangalie kwanza ni biashara Gani zipo hapo, je wewe utakuja na idea Gani ya ju support hizo biashara hapo, yaani zikitegemee.

Mf. Kuna wauza chips na mishkaki, basi wewe uza bahasha za chips, vifungashio vya chips pamoja na bamboo sticks.
 
One of the biggest mistake ni kuanzia biashara kwa kununua vitu kutoka alibaba au Amazon, hizi B2B, na e commerce websites, most of people walioko huko sio manufacturers. Cha kufanya kwa mtaji huo, ni Bora ukaangalia fursa Gani ziko kwenye eneo unalokaa, kipi hakipo na kinapatikana karibu.

Kabla ya kufanya biashara inabidi uangalie kwanza ni biashara Gani zipo hapo, je wewe utakuja na idea Gani ya ju support hizo biashara hapo, yaani zikitegemee.

Mf. Kuna wauza chips na mishkaki, basi wewe uza bahasha za chips, vifungashio vya chips pamoja na bamboo sticks.
Imekaa vizuri sana hii
 
Kijana, itoshe kusema ww n mtu mwema,

Mwez may nmepoteza fedha nying kwa kutaka kufanya biashara ambayo Sina taarifa zake muhimu

Kwel nmeamin katka uwekezaji uspopata faida basi utapata shule
 
Habari Boss, pole na majukumu napenda kukupa nafasi ya upendeleo kwako, baada yakuona thread Yako. Unaeza ağıza Bidhaa kutoka china na kuuza bongo dar. Mizigo yako inafika ndani ya siku 3-5 tangu kuagiza Kwako Kwa njia ya ndege Kwa meli siku 30-45

Ningependa kukupa fursa yakuagiza nakukuletea bidhaa zako Kwa gharama nafuu kutoka china, uturuki kuja Tz dar

Unaeza agiza nasi hatakama huna pesa kamili sisi tukanunua Kwa niaba yako nakufikisha mzigo hapa nakuja kuufata oficini ndo ukamilishe malipo..

Tunapatikana mkunguni street kariakoo karibu na kituo cha polisi msimbazi B, mm ni Mr Nelson head of operations. Karibu sana chief WhatsApp+255765018958 call/text for inquiry

Tuko kariakoo Msimbazi B karibu na kituo cha polisi.
 
One of the biggest mistake ni kuanzia biashara kwa kununua vitu kutoka alibaba au Amazon, hizi B2B, na e commerce websites, most of people walioko huko sio manufacturers. Cha kufanya kwa mtaji huo, ni Bora ukaangalia fursa Gani ziko kwenye eneo unalokaa, kipi hakipo na kinapatikana karibu.

Kabla ya kufanya biashara inabidi uangalie kwanza ni biashara Gani zipo hapo, je wewe utakuja na idea Gani ya ju support hizo biashara hapo, yaani zikitegemee.

Mf. Kuna wauza chips na mishkaki, basi wewe uza bahasha za chips, vifungashio vya chips pamoja na bamboo sticks.

Bado ujajua namna ya kutumia hizo online shop vizuri kuweza kutofautisha.
Mfano: Amazon inakulikana ni watu wa aina gani wanauza na ukitaka kununua Amazon unapaswa uzingatie nini.

Alibaba ni viwanda, watu binafsi na wapiga debe, hao wote unaweza kuwatofauti kulingana na maelezo yao.

Soma nilichokiandika vizuri utaelewa vyote ulivyosema hapo nimezingatia.
 
Habari Boss, pole na majukumu napenda kukupa nafasi ya upendeleo kwako, baada yakuona thread Yako. Unaeza ağıza Bidhaa kutoka china na kuuza bongo dar. Mizigo yako inafika ndani ya siku 3-5 tangu kuagiza Kwako Kwa njia ya ndege Kwa meli siku 30-45

Ningependa kukupa fursa yakuagiza nakukuletea bidhaa zako Kwa gharama nafuu kutoka china, uturuki kuja Tz dar

Unaeza agiza nasi hatakama huna pesa kamili sisi tukanunua Kwa niaba yako nakufikisha mzigo hapa nakuja kuufata oficini ndo ukamilishe malipo..

Tunapatikana mkunguni street kariakoo karibu na kituo cha polisi msimbazi B, mm ni Mr Nelson head of operations. Karibu sana chief WhatsApp+255765018958 call/text for inquiry

Tuko kariakoo Msimbazi B karibu na kituo cha polisi.

Kuagiza ni utapeli tu. nunua bidhaa nje ya nchi ni simple sana.
 
Bado ujajua namna ya kutumia hizo online shop vizuri kuweza kutofautisha.
Mfano: Amazon inakulikana ni watu wa aina gani wanauza na ukitaka kununua Amazon unapaswa uzingatie nini.

Alibaba ni viwanda, watu binafsi na wapiga debe, hao wote unaweza kuwatofauti kulingana na maelezo yao.

Soma nilichokiandika vizuri utaelewa vyote ulivyosema hapo nimezingatia.
Watu wengi wanaouza Alibaba sio manufacturers, ni suppliers, Tena second suppliers from manufacturers. Ukiangalia watu wengi walioko Alibaba, utakuta ni agents walioko china na sehemu nyingine mbalimbali za dunia.
 
Back
Top Bottom