Nawachukia sana hawa matapeli wanaouza dawa mbele ya misikiti

tpaul

JF-Expert Member
Feb 3, 2008
21,852
18,261
Kila baada ya swala ya Ijumaa utawakuta watu mbele ya misikiti wametundika tunguli, vibuyu na dawa wanazozinadi kuwa zinatibu maradhi mbalimbali ya binadamu. Mara nyingi wanaenda kwenye misikiti ya BAKWATA; ni nadra kuwakuta kwenye misikiti ya Sunni.
1710564868584.png

Nimebaini hawa watu si waganga wala waganguzi bali ni matapeli wa kutupwa. Baadhi ya magonjwa wanayojinadi kutibu ni nguvu za kiume, bawasili, ngiri, mshipa, kukojoa kitandani, figo, kumrudisha mpenzi aliye mbali, nk. Kabla sijaenda mbali, naomba kuweka wazi kuwa mimi ni mhanga mmojawapo niliyewahi kutapeliwa mchana kweupe.

Siku moja nilipita mbele ya msikiti nikakuta watu wamekusanyika huku katikati yao kukiwa na mwanaume wa makamo aliyekuwa anaongea kwa uhodari sana. Nikasogea karibu kuchungulia kulikoni. Nikamsikia yule mwanaume akijinadi kuuza dawa mbalimbali za asili. Baada ya ushawishi wa kutosha nikanunua dawa moja iliyokuwa katika umbo la unga nikaenda kuitumia kwa mujibu wa masharti ya mganga yule. Baada ya kuitumia ile dawa nakuona haileti matokeo chanya, nikaamua kuifanyia uchunguzi wa kina. Lahaula! Kumbe haikuwa dawa bali unga wa muhogo.

Kwa kweli kitendo kile kiliniuma sana. Fikiria nimelipa fedha nyingi kununua dawa initibu maradhi yangu na usiku ule tayari nilishajiandaa kutest mitambo halafu nakuja kudhalilika mbele ya mpenzi wangu. Tangu siku ile niliwachukia sana hawa matapeli wanaofanya utapeli wao mbele ya misikiti.

MAONI YANGU
Inasikitisha sana jinsi watu wanavyotumia udhaifu wa maradhi kuwatapeli raia kwa kuwauzia dawa bandia misikitini. Hapa asilauimiwe shehe, imamu wala mwadhini. Hawa watu wanauza dawa feki kwa tamaa zao wenyewe. Hawatumwi msikiti, shehe au mtu yeyote.

Aidha, wagonjwa wanaonunua dawa hizi wanasukumwa na maradhi yao na kiranga chao wenyewe. Bawasili ilishakomaa unadanganywa kwamba itapakwa dawa iishe? Umerogwa. Nenda hospitali ukfanyiwe upasuaji. Ni muhimu kabla ya kununua dawa ukajiridhishe kama inafanya kazi au la.

Nawasilisha.
 

Attachments

  • 1710564823538.png
    1710564823538.png
    3.9 MB · Views: 5
Kila baada ya swala ya Ijumaa utawakuta watu mbele ya misikiti wametundika tunguli, vibuyu na dawa wanazozinadi kuwa zinatibu maradhi mbalimbali ya binadamu. Mara nyingi wanaenda kwenye misikiti ya BAKWATA; ni nadra kuwakuta kwenye misikiti ya Sunni.

Nimebaini hawa watu si waganga wala waganguzi bali ni matapeli wa kutupwa. Baadhi ya magonjwa wanayojinadi kutibu ni nguvu za kiume, bawasili, ngiri, mshipa, kukojoa kitandani, figo, kumrudisha mpenzi aliye mbali, nk. Kabla sijaenda mbali, naomba kuweka wazi kuwa mimi ni mhanga mmojawapo niliyewahi kutapeliwa mchana kweupe.

Kuna siku nilipita mbele ya msikiti nikakuta watu wamekusanyika huku katikati yao kukiwa na mwanaume wa makamo aliyekuwa anaongea kwa uhodari sana. Nikasogea karibu kuchungulia kulikoni. Nikamsikia yule mwanaume akijinadi kuuza dawa mbalimbali za asili. Baada ya ushawishi wa kutosha nikanunua dawa moja iliyokuwa katika umbo la unga nikaenda kuitumia kwa mujibu wa masharti ya mganga yule. Baada ya kuitumia ile dawa nakuona haileti matokeo chanya, nikaamua kuifanyia uchunguzi wa kina. Lahaula! Kumbe haikuwa dawa bali unga wa muhogo.

Kwa kweli kitendo kile kiliniuma sana. Fikiria nimelipa fedha nyingi kununua dawa initibu maradhi yangu na usiku ule tayari nilishajiandaa kutest mitambo halafu nakuja kudhalilika mbele ya mpenzi wangu. Tangu siku ile niliwachukia sana hawa matapeli wanaofanya utapeli wao mbele ya misikiti.

MAONI YANGU
Inasikitisha sana jinsi watu wanavyotumia udhaifu wa maradhi kuwatapeli raia kwa kuwauzia dawa bandia misikitini. Hapa asilauimiwe shehe, imamu wala mwadhini. Hawa watu wanauza dawa feki kwa tamaa zao wenyewe. Hawatumwi msikiti, shehe au mtu yeyote.

Aidha, wagonjwa wanaonunua dawa hizi wanasukumwa na maradhi yao na kiranga chao wenyewe. Bawasili ilishakomaa unadanganywa kwamba itapakwa dawa iishe? Umerogwa. Nenda hospitali ukfanyiwe upasuaji. Ni muhimu kabla ya kununua dawa ukajiridhishe kama inafanya kazi au la.

Nawasilisha.

Pole Sana.

Dawa za kienyeji hazina uwezo wa kutibu matatizo yako kwa 100% Ila zinaweza kulituliza tatizo tu.


nguvu za kiume ni mzunguko mzuri wa damu hivyo haikuhitaji kununua mitishamba bali kuhakikisha unazingatia mlo kamili, na Kuwait stress free.
 
Pole Sana.

Dawa za kienyeji hazina uwezo wa kutibu matatizo yako kwa 100% Ila zinaweza kulituliza tatizo tu.


nguvu za kiume ni mzunguko mzuri wa damu hivyo haikuhitaji kununua mitishamba bali kuhakikisha unazingatia mlo kamili, na Kuwait stress free.
Kuwa stress free ni major factor wengi hawana shida ya nguvu za kiume shida ni stress mambo yamekuwa mengi na yanazidi kuongezeka
 
Kila baada ya swala ya Ijumaa utawakuta watu mbele ya misikiti wametundika tunguli, vibuyu na dawa wanazozinadi kuwa zinatibu maradhi mbalimbali ya binadamu. Mara nyingi wanaenda kwenye misikiti ya BAKWATA; ni nadra kuwakuta kwenye misikiti ya Sunni.
View attachment 2935829
Nimebaini hawa watu si waganga wala waganguzi bali ni matapeli wa kutupwa. Baadhi ya magonjwa wanayojinadi kutibu ni nguvu za kiume, bawasili, ngiri, mshipa, kukojoa kitandani, figo, kumrudisha mpenzi aliye mbali, nk. Kabla sijaenda mbali, naomba kuweka wazi kuwa mimi ni mhanga mmojawapo niliyewahi kutapeliwa mchana kweupe.

Siku moja nilipita mbele ya msikiti nikakuta watu wamekusanyika huku katikati yao kukiwa na mwanaume wa makamo aliyekuwa anaongea kwa uhodari sana. Nikasogea karibu kuchungulia kulikoni. Nikamsikia yule mwanaume akijinadi kuuza dawa mbalimbali za asili. Baada ya ushawishi wa kutosha nikanunua dawa moja iliyokuwa katika umbo la unga nikaenda kuitumia kwa mujibu wa masharti ya mganga yule. Baada ya kuitumia ile dawa nakuona haileti matokeo chanya, nikaamua kuifanyia uchunguzi wa kina. Lahaula! Kumbe haikuwa dawa bali unga wa muhogo.

Kwa kweli kitendo kile kiliniuma sana. Fikiria nimelipa fedha nyingi kununua dawa initibu maradhi yangu na usiku ule tayari nilishajiandaa kutest mitambo halafu nakuja kudhalilika mbele ya mpenzi wangu. Tangu siku ile niliwachukia sana hawa matapeli wanaofanya utapeli wao mbele ya misikiti.

MAONI YANGU
Inasikitisha sana jinsi watu wanavyotumia udhaifu wa maradhi kuwatapeli raia kwa kuwauzia dawa bandia misikitini. Hapa asilauimiwe shehe, imamu wala mwadhini. Hawa watu wanauza dawa feki kwa tamaa zao wenyewe. Hawatumwi msikiti, shehe au mtu yeyote.

Aidha, wagonjwa wanaonunua dawa hizi wanasukumwa na maradhi yao na kiranga chao wenyewe. Bawasili ilishakomaa unadanganywa kwamba itapakwa dawa iishe? Umerogwa. Nenda hospitali ukfanyiwe upasuaji. Ni muhimu kabla ya kununua dawa ukajiridhishe kama inafanya kazi au la.

Nawasilisha.
wanapendelea misikiti gani 🤣

hapo kawe mbona pia kuna watu wengi baada ya ibada, iweje wajikite humo tu.
waache ubaguzi wa kidini, kuna wengine wa dini nyingine pia huenda wanahitaji huduma yao baada ya kutoka kwenye ibada zao pia. wapanue hiyo huduma bas 🐒
 
Kila baada ya swala ya Ijumaa utawakuta watu mbele ya misikiti wametundika tunguli, vibuyu na dawa wanazozinadi kuwa zinatibu maradhi mbalimbali ya binadamu. Mara nyingi wanaenda kwenye misikiti ya BAKWATA; ni nadra kuwakuta kwenye misikiti ya Sunni.
View attachment 2935829
Nimebaini hawa watu si waganga wala waganguzi bali ni matapeli wa kutupwa. Baadhi ya magonjwa wanayojinadi kutibu ni nguvu za kiume, bawasili, ngiri, mshipa, kukojoa kitandani, figo, kumrudisha mpenzi aliye mbali, nk. Kabla sijaenda mbali, naomba kuweka wazi kuwa mimi ni mhanga mmojawapo niliyewahi kutapeliwa mchana kweupe.

Siku moja nilipita mbele ya msikiti nikakuta watu wamekusanyika huku katikati yao kukiwa na mwanaume wa makamo aliyekuwa anaongea kwa uhodari sana. Nikasogea karibu kuchungulia kulikoni. Nikamsikia yule mwanaume akijinadi kuuza dawa mbalimbali za asili. Baada ya ushawishi wa kutosha nikanunua dawa moja iliyokuwa katika umbo la unga nikaenda kuitumia kwa mujibu wa masharti ya mganga yule. Baada ya kuitumia ile dawa nakuona haileti matokeo chanya, nikaamua kuifanyia uchunguzi wa kina. Lahaula! Kumbe haikuwa dawa bali unga wa muhogo.

Kwa kweli kitendo kile kiliniuma sana. Fikiria nimelipa fedha nyingi kununua dawa initibu maradhi yangu na usiku ule tayari nilishajiandaa kutest mitambo halafu nakuja kudhalilika mbele ya mpenzi wangu. Tangu siku ile niliwachukia sana hawa matapeli wanaofanya utapeli wao mbele ya misikiti.

MAONI YANGU
Inasikitisha sana jinsi watu wanavyotumia udhaifu wa maradhi kuwatapeli raia kwa kuwauzia dawa bandia misikitini. Hapa asilauimiwe shehe, imamu wala mwadhini. Hawa watu wanauza dawa feki kwa tamaa zao wenyewe. Hawatumwi msikiti, shehe au mtu yeyote.

Aidha, wagonjwa wanaonunua dawa hizi wanasukumwa na maradhi yao na kiranga chao wenyewe. Bawasili ilishakomaa unadanganywa kwamba itapakwa dawa iishe? Umerogwa. Nenda hospitali ukfanyiwe upasuaji. Ni muhimu kabla ya kununua dawa ukajiridhishe kama inafanya kazi au la.

Nawasilisha.
Hao mbwa wanajikuta sana ni waongo vibaya sana, uongo mwingi sana hao viumbe
 
Back
Top Bottom