Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 8,154
- 11,561
Wapendwa sana, wanafamilia wa JF.
Salamu.
Mara baada ya salamu, Nashukuru Mungu kwa niaba yako na yangu, kwa kibali cha maisha, zawadi ya uhai na afya anazotujaalia.
Karibuni sana nyumbani kwangu mkiwiwa kwa biriani la Christmas.
Wapendwa, Christmas hii tukazaliwe upya kiroho na kimwili na hatimae michango yetu ktkt mijadala mbalimbali ya kisiasa, kijamii na kiuchumi humu ndani ilete mapinduzi ya chanya ya kifikra, Ufahamu na Uelewa ambayo matokeo yake ni umoja, upendo na maelewano na mshikamano licha ya kutokukubaliana kwa wadau miongoni mwa baadhi ya hoja.
Nawatakia Christmas ya Amani sana.
Salamu.
Mara baada ya salamu, Nashukuru Mungu kwa niaba yako na yangu, kwa kibali cha maisha, zawadi ya uhai na afya anazotujaalia.
Karibuni sana nyumbani kwangu mkiwiwa kwa biriani la Christmas.
Wapendwa, Christmas hii tukazaliwe upya kiroho na kimwili na hatimae michango yetu ktkt mijadala mbalimbali ya kisiasa, kijamii na kiuchumi humu ndani ilete mapinduzi ya chanya ya kifikra, Ufahamu na Uelewa ambayo matokeo yake ni umoja, upendo na maelewano na mshikamano licha ya kutokukubaliana kwa wadau miongoni mwa baadhi ya hoja.
Nawatakia Christmas ya Amani sana.