Phone4Sale Nauza simu yangu Infinix note 12, nimekwama

Phone4Sale Nauza simu yangu Infinix note 12, nimekwama

Pole mdada, pole pia kwa comment mbaya, si mgeni hapa hivyo naamini hutajali .
Ni vile pamekuwa mbali kuna mtu angeihitaji.


Hamna njia nyingine ya kupata shuluhisho la hio changamoto bila kuuza hio simu?
 
Simu ni infinix, imetumika takliban miaka mitatu, alafu unaiuza 140k?????? Haupo serious. Wata watakuletea makuzi tu utaishia kununa. Bor uufute huu uzi, nenda kwa nafundi simu mtaani kwako kawaambie wakutafutie wateja.

Pia humu wanaume ni wengi na hatuvututiwi na simu hizo, muchless ikiwa ina umri wa miaka mitatu.
Mkuu biashara ni huria wewe ukiona haiwezekani mwingine inawezekana tumetofautiana kwenye preference
 
Pole mdada, pole pia kwa comment mbaya, si mgeni hapa hivyo naamini hutajali .
Ni vile pamekuwa mbali kuna mtu angeihitaji.


Hamna njia nyingine ya kupata shuluhisho la hio changamoto bila kuuza hio simu?
Mpaka naamua kuuza simu Ina maana sina
 
Mkuu biashara ni huria wewe ukiona haiwezekani mwingine inawezekana tumetofautiana kwenye preference
Biashara ni huria skatai, lakini huwezi kufungua grocery kwenye jengo la msikiti, Au ukarnda kuweka ofisi ya kuuza majeneza kwenye soko la ndizi.. Ni sawa na hiki kinacho fanyika hapa. Dada atabaki kuwa dissapointed tu. Ndo maana nkampa option ya kuongea na mafundi simu ili asaidiwe mapema.

Acheni kutumia maneno mazuri kwa ushauri mbaya. Mtaumiza watu.
 
Uwa hukosoi serikali sio mna kosoa serikali afu apo apo mna kuja kutangaza biashara
Ni kwamba serikali haitakiwi kukosolewa! Basi hilo litakuwa ni genge la wahuni na vilaza wasiojiamini! Na siyo serikali ninayo ifahamu mimi.

Nipo Lushoto Tanga. Kama kuna mtu anataka nimchukue msukule mchana kweupe, ajiroge aje.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom