Phone4Sale Nauza simu yangu Infinix note 12, nimekwama

Phone4Sale Nauza simu yangu Infinix note 12, nimekwama

Ndo mawazo yako yalipoishia.
Kama ningeomba Hela ningekuja direct.mpaka nauza simu it means natafuta Hela halali.
Nsingeweka namba ya simu bado ungesema tapeli

Watu kama wewe hamkosekani kwenye hii Dunia.
Nimewazoea
Jitahidi usiwajibu wapuuzi
 
Jitahidi usiwajibu wapuuzi
Mkuu mshana with all due respect,kumwambia mtu siasa ni maisha yake sidhani kama ni upuuzi.

Pia hizi unazoziona kama negative comments kwake ndio zinazokufanya uone huu uzi na wengine kutilia maanani,hivyo naamini atapata msaada.

Mkuu huyu binti ni mgonjwa,najua hiyo simu huihitaji ila nakujua kama philanthropist mda mrefu,msaidie huyu binti uzi ufungwe🙏
 
Nauza 140
Simu nimenunua 2023,vishapotea
Naona unatumia juhudi kubwa hance
Anataka simu aje namkabidhi mikononi.
Simu ni infinix, imetumika takliban miaka mitatu, alafu unaiuza 140k?????? Haupo serious. Wata watakuletea makuzi tu utaishia kununa. Bor uufute huu uzi, nenda kwa nafundi simu mtaani kwako kawaambie wakutafutie wateja.

Pia humu wanaume ni wengi na hatuvututiwi na simu hizo, muchless ikiwa ina umri wa miaka mitatu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom