Phone4Sale Nauza simu yangu Infinix note 12, nimekwama

Phone4Sale Nauza simu yangu Infinix note 12, nimekwama

Kama huwezi kuji heshimu, basi heshimu wengine kwa nafasi zao

Huyu dada ana fahamika kwa kuwa alisha wahi kuandika uzi wa mahitaji maalumu, hata kama asinge andika sija ona sehemu aki nadi kuuza hicho unacho kisema.

kama kwenu wana danga, haimaanishi nae ni kundi hilo.
Chai
 
Nani anayekujua humu JF?

Hakuna member yeyote wa JF asiyenifahamu.

Sasa mimi na wewe nani anampa airtime mwenzake?

Mwanamke mzima laki 1 inakushinda 😂😂😂😂😂😂😂
Mkuu Kuna wakati inabidi uheshimu wengine Kama vile ulivyo na addicted na siasa Kuna wengine hawapo hivyo ni sehemu ya demokrasia inakupaswa uheshimu hilo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom