Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,113
gari mpya kabisa, kama hauijui ingia google
Kwani hyo google ndo inauza gari? Wewe unayeuza ndo inakubidi utuwekee details na picha za hilo gari unalouza.
gari mpya kabisa, kama hauijui ingia google
Hivi kweli upo serious au unaleta utani hapa. X5 ya 2013 kwa milioni 48 za kitanzania? Hebu niambie upo Msasani sehemu gani nikutembelee kesho Alhamisi tarehe 26 December 2013 ili niione hiyo gari.
Tiba
Kwani hyo google ndo inauza gari? Wewe unayeuza ndo inakubidi utuwekee details na picha za hilo gari unalouza.
Nilinunua mpya kabisa kutoka ujerumani, nimetumia miezi sita tu. nauza milioni 48. kiukweli haipungui bei kabisa kwakuwa naiamini sana hii gari. napatikana msasani, nauza kwakuwa nimeagiza gari nyingine inaingia mapema mwakan. tuma pm kama unahitaji
Halafu mnasema Tanzania kuna umaskini?
Mkiambiwa mnunue Toyota mnasema gari la being rahisi. Haya sasa utamuuzia nani huo msiba wa x5? Acheni kuiga, nunua gari za kijapani na hutapata shida kuliuza.
Halafu mnasema Tanzania kuna umaskini?
ndugu hujui kuwa WAZALENDO ndio hubaki maskini
gari mpya kabisa, kama hauijui ingia google
Mimi ni MCHUNGUZI HURU hivyo usinihoji hata kwenu kikiingia kitu kipya mtaani kwako utajua na mimikwakuwa kule ni viunga vyangu na ni mtu wa magari ni rahisi kujua kuwa kitaa kuna BMW ya 2013 inakatiza mara kwa mara sawa???we unayafaham magar yote ya msasani mkuu? huwa unakaa namanga kufaham nan anaendesha gari gani? haupo serious
Si kweli, hakuna uhusiano kati ya umaskini na uzalendo. Umaskini unasababishwa na kukosekana kwa creativity, kutojishughulisha, kutokuzitambua fursa au kuzitambua lakini hauzitumii. kuhusianisha uzalendo na umaskini hapo ni kutafuta execuse tu ya umaskini wako. asante
We unauza gari au maneno?
Mkiambiwa mnunue Toyota mnasema gari la being rahisi. Haya sasa utamuuzia nani huo msiba wa x5? Acheni kuiga, nunua gari za kijapani na hutapata shida kuliuza.
si dalalI na katika maisha yangu sijawahi kuajiriwa.... specs :
xDrive35i (3.0L 6-cyl. Turbo AWD 8-speed Automatic)
xDrive35i Premium (3.0L 6-cyl. Turbo AWD 8-speed Automatic)
xDrive35i Sport Activity (3.0L 6-cyl. Turbo AWD 8-speed
Automatic)
xDrive50i (4.4L V8 Twin-turbo AWD 8-speed Automatic)
Mimi ni MCHUNGUZI HURU hivyo usinihoji hata kwenu kikiingia kitu kipya mtaani kwako utajua na mimikwakuwa kule ni viunga vyangu na ni mtu wa magari ni rahisi kujua kuwa kitaa kuna BMW ya 2013 inakatiza mara kwa mara sawa???
Hivi kweli upo serious au unaleta utani hapa. X5 ya 2013 kwa milioni 48 za kitanzania? Hebu niambie upo Msasani sehemu gani nikutembelee kesho Alhamisi tarehe 26 December 2013 ili niione hiyo gari.
Tiba
Kumbe inawezekana??Mbona juzi ulinishambulia niliposema nahitaji Prado kwa 12ML ndo hivyo ukishikwa auangalii ulinunua bei gani au Market price!Hahahahaaa, KakaKiiza naona hauamini maskio yako, loh! Mashine X5 ya 2013 utata mtupu, mimi na ufukunyuku wangu niliwahi kukutana nayo ya bei rahisi moja tu ilikuwa na miles chini ya elfu moja, price tag yake ilikuwa 22,000GBP tena ilikuwa damaged, front bumper na shavu la kushoto vyote hakuna, taa zote za mbele hakuna, lakini gari nzima na inatembea! Hiyo ilikuwa UK na bado haujaileta bongo na kulipa kodi na mambo mengine, X5 ya 2013 kwa 48M?...hiyo bei ndiyo tunaita SAWA NA BURE! Angekuwa ameweka picha na details zingine ningemsaidia kuinadi!
Mkiambiwa mnunue Toyota mnasema gari la being rahisi. Haya sasa utamuuzia nani huo msiba wa x5? Acheni kuiga, nunua gari za kijapani na hutapata shida kuliuza.