Hahahahaaa,
KakaKiiza naona hauamini maskio yako, loh! Mashine X5 ya 2013 utata mtupu, mimi na ufukunyuku wangu niliwahi kukutana nayo ya bei rahisi moja tu ilikuwa na miles chini ya elfu moja, price tag yake ilikuwa 22,000GBP tena ilikuwa damaged, front bumper na shavu la kushoto vyote hakuna, taa zote za mbele hakuna, lakini gari nzima na inatembea! Hiyo ilikuwa UK na bado haujaileta bongo na kulipa kodi na mambo mengine, X5 ya 2013 kwa 48M?...hiyo bei ndiyo tunaita SAWA NA BURE! Angekuwa ameweka picha na details zingine ningemsaidia kuinadi!