CYBERTEQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 7,341
- 4,076
hio gari yako ina multiple engines.....taratibu unakuja ninapotaka
Hahahaa, wewe naona unataka kumkimbiza mapema majaa, huenda kweli gari anayo lakini hajui specs kwa hiyo ameamua kugoogle na katika copy paste fasterfaster amejikuta amemix mambo! Kuna dogo mmoja alikujaga humu anauza lamborghini, maswali yalipoanza sijamuonaga tena JF mpaka leo!