Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,628
Watu wengine mna mawazo mgando sana, mimi nina ford sedan na sina mpango wa kuuza labda after 25yrs
Jerry naomba hata Nissan may jamani daladala shida mjini hapa
Watu wengine mna mawazo mgando sana, mimi nina ford sedan na sina mpango wa kuuza labda after 25yrs
hio usd 27,000 inakaribia 48m na hio ni huko haijafika hapa uilipie ushuru na 2011 sasa 2013 kailipia na ushuru inakuwa ngumu kuamini
Jerry naomba hata Nissan may jamani daladala shida mjini hapa
Tarehe 16/01/2014 alhamis saa 12:30 asbh (Tz time) ingia hapa www.pickles.com.au nunua gari online hadi za AU$100 mi ntakusaidia kuprocess
hahahah!
na we utampa nini?
Hiyo dharau ya wezekana wewe hata bodaboda huna unakuja hapa kuleta pang'ang'a wewe unajua humu kuna watu waina gani!Kwakuwa watu wanajua hata bei zake wanashangaa hii gari kuwa ya bei chee!yawezekana mbovu pia!!Ikifa central box inazo2 moja 8ml!bado kuzifanyia setting ziwe compatible na system ya gari kutokana na accessories zilizopo katika gari!inajua hapo ina turn bei gani??na siajabu Noble motors wakakwambia hatuna toa cash tuagize!
usiseme watanzania ni masikini....sema mimi ni masikini....sikumbuki nani alisema maneno haya ila naamini alilenga watu kama wewe...
Ushuru utanilipia
hahahah!
na we utampa nini?
Hivi kweli upo serious au unaleta utani hapa. X5 ya 2013 kwa milioni 48 za kitanzania? Hebu niambie upo Msasani sehemu gani nikutembelee kesho Alhamisi tarehe 26 December 2013 ili niione hiyo gari.
Tiba
Angekua serious hata post yake angeiweka sawa, X5 BMW kama unaiendesha hutokuja kutuwekea post ya kijinga yenye mapungufu namna hiyo, afu 2013 version unipe bei ya kijinga hivo? unless imekufa kitu au ndio zile mchina, maana mchina zipo clones na nimeziona nyingi tu.. Tusiwe tunataniana tunapimana imani... bei ya hiyo gari ni US$47,500 kabla ya kuisafirisha na ushuru, afu mtu aje akuizie 48M baada ya kuendesha miezi sita, labda ikiwa imekufa au wameiba engine
Haya bna, naona siku hizi charity tunatoa kwa watu wenye uwezo wa kufikisha 40Million for just a car, mtu mwenye uwezo wa kufika hapo then ukimpunguzia price uliyonunulia kdg tu anawezachukua sio kupuunguza nusu nzimaCharity at work mkuu.SAA zingine e unatoa tu sio LAzima kila Siku kuhesabu faida
Si unajua mwenye nacho huongezewaHaya bna, naona siku hizi charity tunatoa kwa watu wenye uwezo wa kufikisha 40Million for just a car, mtu mwenye uwezo wa kufika hapo then ukimpunguzia price uliyonunulia kdg tu anawezachukua sio kupuunguza nusu nzima
Tunaomba feedback tafadhali enheee ilo chuma uliliona au?samahani lkn maana nimecheka sn kila nikisoma comments za raia umu.
Mkuu, hii kitu sikuiona kwani jamaa aligoma kuniambia ni wapi inapatikana hapo Msasani ili niende nikaione.
Tiba
Duuuh ukute hana hata toroli
Mkuu Smile, huyo ni msanii tu kama walivyo wasanii wengine. Hana cha hilo gari wala nini ndio maana hata bei yake haijui.
Tiba
Mkuu Smile, huyo ni msanii tu kama walivyo wasanii wengine. Hana cha hilo gari wala nini ndio maana hata bei yake haijui.
Tiba