abdi basho
Member
- May 18, 2021
- 70
- 46
Habari karibuni sana, nauza dagaa nyama niko Tanga mjini 7000 kwa kilo moja maongezi yapo. Karibuni 0718755347.
Mzigo naona uko clean kabisa huuHabari karibuni sana, nauza dagaa nyama niko Tanga mjini 7000 kwa kilo moja maongezi yapo. Karibuni 0718755347.
View attachment 2927798View attachment 2927800
Hizi si ndio zinaliwa vijijini au watu siku hizi hawali dagaa?Habari karibuni sana, nauza dagaa nyama niko Tanga mjini 7000 kwa kilo moja maongezi yapo. Karibuni 0718755347.
View attachment 2927798View attachment 2927800
Kumbe ziko tofauti?Aah dagaa nyama wapi bwana huo ni uono
Ndio huo huo, watu wa daa ndo wanamajina ya ajabuKumbe ziko tofauti?
kwa mafia unaweza kupataMzigo tani 1 unaweza kupatikana kwa wakati mmoja?
Ndio kiongozi samahani kwa kuchelewa kukujibu. tuwasiliane 0718755347Mzigo tani 1 unaweza kupatikana kwa wakati mmoja?
Sana mkuu, karibu sanaMzigo naona uko clean kabisa huu
Majina yanatofautiana ila ndo huo huo uono. karibu sana kiongoziAah dagaa nyama wapi bwana huo ni uono
pamoja sana kiongozi shukran kwa ushauri wako. karibu sanaTutafute hela hakuna dagaa nyama!
Tutafute hela hakuna dagaa nyama!