Habari!
Mimi ni kijana mjasiriamali wa kitanzania, ninajishughulisha na uuzaji wa dagaa kwa ajili ya kutengenezea chakula cha kuku/mifugo, hivyo natafuta mteja/wateja wa dagaa hao.
Dagaa hao wanapatikana kuanzia tani 1.
Bei ni shilingi 3000/= kwa kilo 1, ambayo itajumuisha usafirishaji wa mzigo hadi mahali ulipo, nimewasilisha mfano wa picha hapo chini.
Napenda kuwasilisha.
Mimi ni kijana mjasiriamali wa kitanzania, ninajishughulisha na uuzaji wa dagaa kwa ajili ya kutengenezea chakula cha kuku/mifugo, hivyo natafuta mteja/wateja wa dagaa hao.
Dagaa hao wanapatikana kuanzia tani 1.
Bei ni shilingi 3000/= kwa kilo 1, ambayo itajumuisha usafirishaji wa mzigo hadi mahali ulipo, nimewasilisha mfano wa picha hapo chini.
Napenda kuwasilisha.