Nauza fenicha za ofisini zilizotumika 800,000 maongezi yapo

Afrolink-Tz Consult Ltd

JF-Expert Member
Feb 25, 2018
420
939
Habari za leo!

Ninauza fenicha za ofisini zilizotumika zipo katika hali nzuri sana:
1. Meza kubwa moja (imported)
2. Kiti kimoja cha ngozi cha kuzunguka
3. Viti viwili vya wageni (nimenunua mwezi Januari,2024)
Fenicha zote hizi nauza kwa pamoja kama zilivyo sh 800,000 maongezi yapo
Zinapatikana mtaa wa Shaurimoyo/Songea, Ilala Dsm
Mawasiliano 0659211222/0777777766 [call/inbox/whatsapp]
Karibuni sana
 

Attachments

  • 20240310_164211.jpg
    20240310_164211.jpg
    1.4 MB · Views: 7
  • 20240310_164207.jpg
    20240310_164207.jpg
    1.4 MB · Views: 4
  • 20240310_161506.jpg
    20240310_161506.jpg
    1.8 MB · Views: 4
  • 20240310_161538.jpg
    20240310_161538.jpg
    769.1 KB · Views: 4
  • 20240310_164207.jpg
    20240310_164207.jpg
    1.4 MB · Views: 4
  • 20240310_161436.jpg
    20240310_161436.jpg
    942.5 KB · Views: 4
  • 20240310_161423.jpg
    20240310_161423.jpg
    945.4 KB · Views: 5
  • 20240310_161356.jpg
    20240310_161356.jpg
    1.5 MB · Views: 5
  • 20240310_161412.jpg
    20240310_161412.jpg
    855.8 KB · Views: 6

Similar Discussions

Back
Top Bottom