My hair my crown
JF-Expert Member
- Feb 5, 2016
- 800
- 2,127
Natumaini mmeamshwa salama.
Karibuni mnitume samaki toka mwanza sangara, sato (wabichi au waliokaangwa) na dagaa waliokaangwa wakiwa wabichi. Kwa wanaohitaji wabichi mara nyingi wanatumwa kwa ndege.
Moja kwa moja mimi siuzi samaki direct ila natoa huduma ya kwenda kumnunulia mteja samaki au dagaa na kumtumia mkoani kwake kwa uaminifu ila mimi ananilipa elf 10 tu, kwenda kumnunulia kupeleka waandaliwe hapa ni kutolewa utumbo, kuoshwa na kukaangwa then niwasubiri mpaka wapoe ndo wafungwe nikatume, wabichi wanatolewa tu utumbo na kupakiwa kwa kuwekwa chumvi na barafu na kwenda kuwatuma.
Samaki huku hawauzwi kwa kilo kama tulivozoea kwingine bali wanauzwa kwa mmoja mmoja kulingana na ukubwa wa samaki, na sato wana bei juu kuliko sangara. Hivyo mteja wangu ukija niambie unataka samaki wa sh. ngapi jumla na size unayopendelea then itakua ni kazi yangu kukununulia.
Kwa dagaa kuna wa kuanzia elf 5 kuendelea sado tsh. 20,000
Kwa mawasiliano zaidi karibu 0694 366 291
Karibuni mnitume samaki toka mwanza sangara, sato (wabichi au waliokaangwa) na dagaa waliokaangwa wakiwa wabichi. Kwa wanaohitaji wabichi mara nyingi wanatumwa kwa ndege.
Moja kwa moja mimi siuzi samaki direct ila natoa huduma ya kwenda kumnunulia mteja samaki au dagaa na kumtumia mkoani kwake kwa uaminifu ila mimi ananilipa elf 10 tu, kwenda kumnunulia kupeleka waandaliwe hapa ni kutolewa utumbo, kuoshwa na kukaangwa then niwasubiri mpaka wapoe ndo wafungwe nikatume, wabichi wanatolewa tu utumbo na kupakiwa kwa kuwekwa chumvi na barafu na kwenda kuwatuma.
Samaki huku hawauzwi kwa kilo kama tulivozoea kwingine bali wanauzwa kwa mmoja mmoja kulingana na ukubwa wa samaki, na sato wana bei juu kuliko sangara. Hivyo mteja wangu ukija niambie unataka samaki wa sh. ngapi jumla na size unayopendelea then itakua ni kazi yangu kukununulia.
Kwa dagaa kuna wa kuanzia elf 5 kuendelea sado tsh. 20,000
Kwa mawasiliano zaidi karibu 0694 366 291