Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,600
- 4,266
Nilijia iphone 12 kumbe ni phone 12...Soon naingiza mtamboView attachment 1876807
Nilijia iphone 12 kumbe ni phone 12...Soon naingiza mtamboView attachment 1876807
Kuna uzi mwingine niliona jamaa alikuwa analalamika pia kutapeliwa. Nikashngaa inakuwaje coz Mwl naona ni mtu poa. Members walimtag ila aliuchuna. Hakujibu kitu.Nachoshangaa Mwl RCT hamjibu kabisa KakaJambazi!
Kwanini hamjibu? Kuna kitu hakiko sawa.
Na nyie mnaomtetea Mwl, bora kuacha hawa watu wajadili wenyewe. Kutokukutapeli wewe hakufanyi asimtapeli mwingine!
Nimewahi fanya biashara na Mwl, najua nachokisema.
Kwahiyo, hawa wanaship kabisa? Yani natulia zangu bongo hapa nakamata Oppo yangu saaafi kabisa?Na kwa vitu vya electronics: Computer/Tablet/Mobile basi ingia hapa vatanbilgisayar (dot) com
- trendyol (dot) com
- hepsiburada (dot) com
Oppo yangu saaafi kabisa?
Ndio cha kujiuliza hicho mkuu, kwanini hajibu tuhuma zikilengwa kwake? Nadhani hajibu ili mambo yaishe .....Kuna uzi mwingine niliona jamaa alikuwa analalamika pia kutapeliwa. Nikashngaa inakuwaje coz Mwl naona ni mtu poa. Members walimtag ila aliuchuna. Hakujibu kitu.
Mimi niliwahi kumtumia Mwl.RCT kuagiza bidhaa fulani kwa laki na nusu,aliniambia nitapata baada ya wiki tatu.Lakini mzigo ule niliupata kabla ya hizo wiki tatu.
Tuhuma weka na ushahidi... Siwezi kuanzisha tu Kambaku amenitapeli... Lazima utapigwa butwa huyu jamaa katokea wapi na ikiwezekana una weza dharauNdio cha kujiuliza hicho mkuu, kwanini hajibu tuhuma zikilengwa kwake? Nadhani hajibu ili mambo yaishe .....
Kuna uzi wake ingia huko kuba mirejesho yakutosha, Uzi tangu 2016, anza kupitia page moja mpaka ya mwisho kama utakuta dosari...NI TZ PEKEE NDIPO KUNA WANANCHI WANAKUBALI USHUHUDA KAMA HUU. YANI KUNA MTU HATA HAWAZI, AKIONA UMESEMA HIVI TU KWAKE INATOSHA. NCHI HII NI TAMU KAMA KULEEEEEE
Tapeli mwenyewe alisha kiri kwamba kuna watu wanamdai, na huu ni takribani mwaka hawajalipwa, halafu huyu mpuuzi anakuja kujipendekeza. Labda ni demu wake.Embu wewe weka apa ushahidi kwamba hajamtapeli
Wewe umeandika Point Sana Mkuu, mtu asipotapeliwa yeye ana generalize kua wengine hawajatapeliwa. Wengine wanaijua ofisi yake ilipo lakini wengine hawaijui, huwasiliana nae mitandaoni tu.Nachoshangaa Mwl RCT hamjibu kabisa KakaJambazi!
Kwanini hamjibu? Kuna kitu hakiko sawa.
Na nyie mnaomtetea Mwl, bora kuacha hawa watu wajadili wenyewe. Kutokukutapeli wewe hakufanyi asimtapeli mwingine!
Nimewahi fanya biashara na Mwl, najua nachokisema.
Wewe umesema uliwahi fanya biashara ya dola 15,000 na Mwl ila hujaweka ushahidi wowote.Tuhuma weka na ushahidi... Siwezi kuanzisha tu Kambaku amenitapeli... Lazima utapigwa butwa huyu jamaa katokea wapi na ikiwezekana una weza dharau
Pia binadamu tuna hulka tofauti ktk kureact... Kuna mwingine jambo ukimsingizia ana weza kuanzisha ugomvi mkubwa na mwingine akakupuuza
Hivyo tuna tofautiana
Tuhuma weka na ushahidi... Siwezi kuanzisha tu Kambaku amenitapeli... Lazima utapigwa butwa huyu jamaa katokea wapi na ikiwezekana una weza dharau
Pia binadamu tuna hulka tofauti ktk kureact... Kuna mwingine jambo ukimsingizia ana weza kuanzisha ugomvi mkubwa na mwingine akakupuuza
Hivyo tuna tofautiana
Kuna uzi wake ingia huko kuba mirejesho yakutosha, Uzi tangu 2016, anza kupitia page moja mpaka ya mwisho kama utakuta dosari...
Nenda utakuta ushahidi wa picha etc... Wange funga ule Uzi kama unge kuwa na mashaka
Yaaan mkuu nkiona mtu anamtetea tapeli nashikwa na hasira natamani awe ata karibu nimnyoe kwa chupaTapeli mwenyewe alisha kiri kwamba kuna watu wanamdai, na huu ni takribani mwaka hawajalipwa, halafu huyu mpuuzi anakuja kujipendekeza. Labda ni demu wake.
Alafu kwanini wewe unamtetea Sana??Tuhuma weka na ushahidi... Siwezi kuanzisha tu Kambaku amenitapeli... Lazima utapigwa butwa huyu jamaa katokea wapi na ikiwezekana una weza dharau
Pia binadamu tuna hulka tofauti ktk kureact... Kuna mwingine jambo ukimsingizia ana weza kuanzisha ugomvi mkubwa na mwingine akakupuuza
Hivyo tuna tofautiana
Nikiweka ushahidi itaondoa tuhuma anazo tuhumiwa?Wewe umesema uliwahi fanya biashara ya dola 15,000 na Mwl ila hujaweka ushahidi wowote.
Usichanganye hulka za kibinadamu na biashara mkuu. Ikiwa mfanyabiashara kaanzishiwa tuhuma ni lazima atajisafisha kwa maana inaharibu biashara yake, hii biashara ya Mwl ni maisha yake hakuna namna azushiwe kitu cha uongo ambacho kinaharibu image ya biashara yake alafu akae kimya simply eti binadamu wanatofautiana ku react!
Ukiwaza hilo ni Sawa pia...Alafu kwanini wewe unamtetea Sana??
Why usiache ajitetee mwenyewe au ndo yeye kwa I'd nyingne??