Sultankundi
Member
- May 10, 2023
- 26
- 37
Habari,
Nchi ya uturuki imekuwa miongoni mwa nchi ambazo Watanzania wengi wamejivunia utajiri kutokana na kuagiza bidhaa mbalimbali kupeleka Tanzania.
Katika kipindi cha miaka ya Karibuni miongoni mwa bidhaa zinazoongoza kuchukuliwa kutoka uturuki ni bidhaa za umeme vyenye thamani ya shilingi b.85, Nondo b.67, na bidhaa nyingine nyingi.
Kwanini bidhaa kutoka Uturuki zina bei?
Tukija kwenye swali letu
Sababu kubwa ya bidhaa za Uturuki kuwa na bei ni kutokana na ubora wa bidhaa hizo
2. Wazalishaji wengi wanazalisha ili kukidhi haja za masoko makubwa barani Ulaya kama Germany hivyo bei zao hulenga kutokana na hali za uchumi za masoko hayo.
Hivyo basi hizo ni sababu chache zinazofanya bei ya bidhaa za Uturuki kuwa ghali ukilinganisha na masoko mengine.
Karibuni muagize nasi bidhaa bora kama vile nguo za watoto, makoti, nguo za wanawake na bidhaa mbalimbali.
Nchi ya uturuki imekuwa miongoni mwa nchi ambazo Watanzania wengi wamejivunia utajiri kutokana na kuagiza bidhaa mbalimbali kupeleka Tanzania.
Katika kipindi cha miaka ya Karibuni miongoni mwa bidhaa zinazoongoza kuchukuliwa kutoka uturuki ni bidhaa za umeme vyenye thamani ya shilingi b.85, Nondo b.67, na bidhaa nyingine nyingi.
Kwanini bidhaa kutoka Uturuki zina bei?
Tukija kwenye swali letu
Sababu kubwa ya bidhaa za Uturuki kuwa na bei ni kutokana na ubora wa bidhaa hizo
2. Wazalishaji wengi wanazalisha ili kukidhi haja za masoko makubwa barani Ulaya kama Germany hivyo bei zao hulenga kutokana na hali za uchumi za masoko hayo.
Hivyo basi hizo ni sababu chache zinazofanya bei ya bidhaa za Uturuki kuwa ghali ukilinganisha na masoko mengine.
Karibuni muagize nasi bidhaa bora kama vile nguo za watoto, makoti, nguo za wanawake na bidhaa mbalimbali.