Tulishaambiwa uraisi ni suala la kifamilia.............NAULIZA CHEO CHAKE KWANI MAMBO YOTE MABOVU ANAYAFANYA YEYE HII NI PAMOJA NA KUGOMBANISHA WATU,KUDHULUMU,KUMUUNGANISHA KIKWETE NA WAGANGA,NA MENGINE KIBAO. SASA TUAMBIWE KAMA SERIKALI YETU INAMFAHAMU 1ST SON.UKINIAMBIA 1st LADY NASEMA SALMA RIDH1 JE???
Kumbe anayo share kwenye upresident. Wao!!!!!!!!!!!!!!!
kweli kazi ipo.ngoja tuendelee kufuatilia,ila hitimisho litakuwa 2015 kama yakibaki kama yalivyopangwa.
NAULIZA CHEO CHAKE KWANI MAMBO YOTE MABOVU ANAYAFANYA YEYE HII NI PAMOJA NA KUGOMBANISHA WATU,KUDHULUMU,KUMUUNGANISHA KIKWETE NA WAGANGA,NA MENGINE KIBAO. SASA TUAMBIWE KAMA SERIKALI YETU INAMFAHAMU 1ST SON.UKINIAMBIA 1st LADY NASEMA SALMA RIDH1 JE???
NAULIZA CHEO CHAKE KWANI MAMBO YOTE MABOVU ANAYAFANYA YEYE HII NI PAMOJA NA KUGOMBANISHA WATU,KUDHULUMU,KUMUUNGANISHA KIKWETE NA WAGANGA,NA MENGINE KIBAO. SASA TUAMBIWE KAMA SERIKALI YETU INAMFAHAMU 1ST SON.UKINIAMBIA 1st LADY NASEMA SALMA RIDH1 JE???
Kumjadili Riz 1 sawa, ila tukitaka kumjadili Josephine hapa watu hamtaki, hapo ndipo mnapoonekana upeo wa akili chache mlizo nazo
Kumjadili Riz 1 sawa, ila tukitaka kumjadili Josephine hapa watu hamtaki, hapo ndipo mnapoonekana upeo wa akili chache mlizo nazo
Josephine ndio nani? Ana uhusiano wowote na riz1 tunayemjadili hapa?Kumjadili Riz 1 sawa, ila tukitaka kumjadili Josephine hapa watu hamtaki, hapo ndipo mnapoonekana upeo wa akili chache mlizo nazo
note:Rz 1 amejenga maadui wengi kisiasa baba yake atakapoachia ngazi ataiona tabia halisi ya binadam kwamba wanakusujudi pindi unapokuwa na madaraka tu..
Hapo ndipo alipochemsha na hii itamcost sana afta 2015....He should think of where to relocate!...Unless aanze kupunguza maadui!
ndugu yangu mimi nashindwa kukuelewa au nikuweke kundi gani, genius brain umemgongea thanks yaani kumaanisha kwamba unaunga mkono hoja yake, sasa mbona hapa comment yako haiendani na huyo uliyemgongea thanks? Au pengine mimi labda ndio sijui matumizi ya thanks humu jf, naomba kuelimishwa.