Nauliza. Huyu ridhiwani ni nani??????

Nauliza. Huyu ridhiwani ni nani??????

Kumjadili Riz 1 sawa, ila tukitaka kumjadili Josephine hapa watu hamtaki, hapo ndipo mnapoonekana upeo wa akili chache mlizo nazo

Unataka kusema Riz 1 ni mwanamke? I mean mtarajiwa first Lady? umenizindua usingizini......
 
zipo taarifa pia kwamba Riz1 ni mhusika mkuu katika biashara za dawa za kulevya akishirikiana na mtoto wa mzee samwel sita na offic yao ipo masaki.....
 
mlishaambiwa urais ni taasisi ya kifamilia na JIZ 1 naye ni sehemu ya familia,na tatizo siku zote baba ukisikiliza sana ushauri wa mtoto mjinga kwa mambo ya kijinga yasokua na tija watu watakuona MPUMBAVU
 
Kumjadili Riz 1 sawa, ila tukitaka kumjadili Josephine hapa watu hamtaki, hapo ndipo mnapoonekana upeo wa akili chache mlizo nazo
vibaraka wanaolipwa na viongozi kujibu tuhuma zao kwenye mitandao utawafahamu tu.............................kua makini siku nyingine uanweza gawa hata t..............go
 
Back
Top Bottom