Mulama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,018
- 1,791
<br />
<br />
Wewe acha kunizibia bana natoa ruksa toa picha. Halafu wewe nikikukamata?
Sasa hapo huoni kama unanitisha manake nitoe picha halafu unikamate ili unifanyeje?
<br />
<br />
Wewe acha kunizibia bana natoa ruksa toa picha. Halafu wewe nikikukamata?
Nakuangalia kwa jicho pembe!
Embu niambie hani muni unataka kwenda wapi darling..<br />
<br />
Weeeh nikuchongee tena sijipendi? Sweetheart siwezi
<br />Embu niambie hani muni unataka kwenda wapi darling..
<br />Sasa hapo huoni kama unanitisha manake nitoe picha halafu unikamate ili unifanyeje?
<br />Nakuangalia kwa jicho pembe!
<br />
<br />
Hata wewe my sweetheart wanipiga madongo?
<br />Hahha naona nimetoswa dia, mradi kakufata wewe best wagu si tutashea enheee <img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/evil.gif" border="0" alt="" title="Evil" smilieid="175" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/evil.gif" border="0" alt="<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/evil.gif" border="0" alt="" title="Evil" smilieid="175" class="inlineimg" />
Basi samahanini ila nilikuwa najaribu kuepusha shari kwa bwana mdogo kaju manake atakapopigwa kombora wana jf tutalazimika kuahirisha shughuli za kila siku ili tukazike na matanga juu!<br />
<br />
Unanizibia ridhiki yangu ha ha ha we hebu acha uchokozi bana nini lkn
<br />
<br />
Mchungajii....karibu
Unaniona nikikuandalia kinywaji ehhh??
Napenda juicy yako wajua!!!!
Napenda juicy yako wajua!!!!
Juicy ipi Rev ya ukwaju? au ya ndimu? hahahahahah lol!
Unaniona nikikuandalia kinywaji ehhh??
:sad::embarrassed::thinking::frown::A S tongue:
Hahaha! nimecheka mpaka naogopa nimeamsha watu,we utakuwa mwanafunzi mzuri wa mama wa kwanza mambo ya mafiga matatu unavyotu-juggle rev,cpu na mie lol!Hivi dearest hujui nafanya kazi hapa Kempiski??Nipo kaunta!!
Hahaha nafurahi umefurahi dearest ila punguza sauti dada jirani asikusikie akadhani una mgeni ndani wakati mwenyewe anakumendea!!!!Hahaha! nimecheka mpaka naogopa nimeamsha watu,we utakuwa mwanafunzi mzuri wa mama wa kwanza mambo ya mafiga matatu unavyotu-juggle rev,cpu na mie lol!
Najua ndo maana sichoki kukuandalia...