<br />Age aint nothing but a number!!!! acha waseme nafikiri wasubiri bonge la suprise hiyo siku ndo watakapo koma kulinga!!!
jamani umenishindwa mie nisiyevaa kufuli je utamuwezaje yule Dena Amsi anayevaa kufuli, skin tight, bukta, kaptula na baibui juu?
<br />
<br />
Dalili za wivu...
<br />mi naona hapa ndo yale yale mambo naizimia avatar yake mmmhhhh!!!!!!!!!!<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/israel.gif" border="0" alt="" title="Israel" smilieid="207" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/israel.gif" border="0" alt="" title="Israel" smilieid="207" class="inlineimg" />
<br />
<br />
Kwa Kajuni nakuachia CPU mazima
<br />hahahahahaha! Lol!<br />
Lazima jasho limtoke kwenye kumvua baibui.
<br />siyo wivu ila roho inaniuma tu. Japo kuwa nimechelewa, si naweza kufanya competition?
<br />Ndo maana nakupenda...kwa hili najitolea kupika pilau!!!
Nashukuru DENA nafikiri LIZZY anataka kuniharibia kwani alinitaka mie si ndo nikataaaa. Mh LIZZY moyo wangu upo kwa D.
<br />Nashukuru DENA nafikiri LIZZY anataka kuniharibia kwani alinitaka mie si ndo nikataaaa. Mh LIZZY moyo wangu upo kwa D.
<br />Jamani mbona hivo sie mpaka kutangaza ina maana uko tulisha toka zamani! Mhhh kweli nimeamini DENA wengi walikuwa kimya sasa roho zina wauma.
jamani umenishindwa mie nisiyevaa kufuli je utamuwezaje yule Dena Amsi anayevaa kufuli, skin tight, bukta, kaptula na baibui juu?
Haturudi nyuma kamweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!
Kumbe ehhh.....?