Utakuwa ulisoma vipengele vyote vya ule mkutano wa Beijing walidai kama wanaume wanaweza oa zaidi ya mwanamke mmoja na wanawake pia waweze kuoa wanaume zaidi ya mmoja na walitolea mfano Mongolia ambapo wanaume wanapangiwa ratiba siku ya kuja kulala na India ndugu wawili/watatu wanaoa mwanamke mmoja kupunguza gharama.Hahaha nafurahi umefurahi dearest ila punguza sauti dada jirani asikusikie akadhani una mgeni ndani wakati mwenyewe anakumendea!!!!
Sasa ntafanyaje wakati nawapenda???