Jamani wadau nimepanga kutoa posa hivi karibuni kwa binti machachari hapa jamvini na kwa jina ni DENA AMSI. Nawakaribisha woteeee tusherekee natumaini hii itakuwa safari yangu ya mwisho wa kuhangaika! Lini na ni wapi just stay tuned!
<br />Usije ukawa umelitolea posa jina tu la DA, wakati binadamu mwenyewe ni rijali kama mimi
<br />DENA nakuzimia sana sana! na safari hii nimejiandaa na kila kitu mpaka TEMBO CARD!!
<br />kila la heri mkuu...hiyo mashine inabidi uende na ngo'mbe zizi zima
<br />
<br />
We acha wivu mie mwanamke bana
<br />Na wewe, mmmmh<br />
Yaani ndo unajirahisisha haraka namna hiyo??<br />
Kwangu mi mbona hukuwa mwepesi hivi???
<br />Baba tunatofautiana viwango.....na ana haki thabiti ya kuchagua! utakaribishwa tuu usiofu!!
<br />
<br />
Good...