Natangaza Ndoa

avatar19506_4.gif

Mkuu,naomba m-pm mamushka, hii avatar inamfaa sana. LOL
 
Ewaaaa....nadhani alimaanisha hivyo. Labda walikuwa wanaishi katika ndoa iliyofungwa kiserikali au kimila, sasa wanataka kuibariki iwe ya ki-Mungu.
Nahisi nimekuelewa mkuu...!

Wamechakachuana kwanza kisha ndio wanataka ridhaa ya Mwenyezi Mungu... Ok!

Mimi nilisha wahi ona watu, wakifunga ndoa kwa mujibu wa imani za dini zao, kisha ndio wanakwenda kufunga ndoa kimila.
 
chief!! tunaanza kuulizana makabila tena jamani! hebu rudisha moyo na kiwiliwili nyuma,ukumbuke urithi aliotuachia baba wa taifa. fanya mpango bwana,i will make u smile,lol!

Hapo nitakukatia rufaa King'asti...kabila gani kwanza......LOL<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/dance.gif" border="0" alt="" title="Dance" smilieid="161" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/dance.gif" border="0" alt="" title="Dance" smilieid="161" class="inlineimg" />
 
Mimi naomba niwekwe kwenye kamati ya mapokezi.......maana na mimi nitapta fursa ya kuchagua wangu

Utakuwa na Lizzy,mamushka n.k, karibu mkuu ila unatakiwa kwanza um-pm Invisible au Rev Masa ili wakuelekeze jinsi ya kufanya application.
 
Umesahau Dena Amsi na Sizinga

Ngoja nim-Pm Rev kumpa taarifa kuwa kuna watu wengine wameongezeka,naomba kama utamwona Invisible huko mtaani mwambie Dena na sizinga wanahitaji wanakamati.
 
Ngoja nim-Pm Rev kumpa taarifa kuwa kuna watu wengine wameongezeka,naomba kama utamwona Invisible huko mtaani mwambie Dena na sizinga wanahitaji wanakamati.
<br />
<br />
Ha ha ha jamani mie nimepewa Sinziga? Mi miss Him sana ha ha
 
Mkuu,naomba m-pm mamushka, hii avatar inamfaa sana. LOL
Haaaahaaaaaaaaaaaaa jamani mnanionea kwa hiyo mi ndo nafukuzia hivyo, yani mi naomba pasta na lizzy mambo yasikae sawa ili niwe mama mchungaji, na kihitaji sana hicho cheo.
 
Kati ya Uporoto na Cheusi Mangala, Max Melo na Miss Judith, Mama Groly na Dr Phone, Afrodenzi na Nyani Ngabu, Buji Buji na Blackberry.
Kwa maelezo zaidi M-Pm Rev Masa ambaye atabariki ndoa hizo pia Natangaza ndoa kati ya Faiza Foxy na Mohamed Shossi, kwa maelezo zaidi M-Pm Sheikh Malaria Sugu (MS) ambaye atasimamia ndoa hiyo.

Ndoa zote zitafungwa hivi karibuni, nafasi za wanakamati ziko wazi na wana MMU mnaruhusiwa kugombea.

Long live JF married.


Nilikuwa sijaiona hii

Hii ni ndoa yenye mikosi.....
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom