Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
unaonaaaaaa
smile mwenyewe kaolewa bila hata posa
afu wewe wataka kumkimbizia kanisani?
Mke mwenza mie ctaki pati taim nataka pamanenti atii!hii hata hakimu hana uwezo wa kuivunja!
unaonaaaaaa
smile mwenyewe kaolewa bila hata posa
afu wewe wataka kumkimbizia kanisani?
nilimaanisha sie,hakuna haja ya kuanzisha sred hii mpaka kieleweke lol!
Kumbe lugha waijua vizuri eeeh? Nahitaji kuwa kifimbo cheza wa muda......nyie vijana wa dot.com mnatusumbua sana!!
That's grt! Ngoja nianze kuongea na baba mchungaji aitangaze ndoa yetu..Swty darling ya kanisan hasa nataka kuwa nawe milele amina lol!
That's grt! Ngoja nianze kuongea na baba mchungaji aitangaze ndoa yetu..
Familia tunaipangia hapa hapa or tunahitaji faragha..
Bado unafikiria tu?ngoja nifikirie
ila kuna yule kawapita namba wani wote
ntaweza kweli???
Ntakutumia jibu kwa barua
Owk, Masanilo ataongoza shughuli yote! Anza kumtafuta matron, mi still nakuna kichwa kumpata bestman!Orait darling,fanya huo mpango,nadhan hata rev masanilo unaweza mpa hiyo tenda!mambo yote hapa hapa hadharan hakuna haja ya kwenda chobingo kbs!
Owk, Masanilo ataongoza shughuli yote! Anza kumtafuta matron, mi still nakuna kichwa kumpata bestman!
Owk, Masanilo ataongoza shughuli yote! Anza kumtafuta matron, mi still nakuna kichwa kumpata bestman!
shosti tuheshimiane!!!!
long time mnamdiss Rejao sasa amekuwa wangu mnaanza kunipora.........endeleeni na wale wa kwenu pls msinigusie REJAO
hahahaha!ucjali mpenzi nitajitahidi kunyoo maelezo ili usipate tabu ndugu yangu!
Mjukuu wa Mtambuzi mbona hujamleta huyo mchuma nyumbani tukamtambua au ndio mambo ya mjinimjini? Ila kumbuka kwenye familia ya mzee Mtambuzi haipendi watu wenye pua ndefu. BTW nimekumiss
Mmmmh hao wenye redi waache kabisaa, wanaweza wakachana chana your wedding gown ukakosa cha kuvaa!Ok,mie nafikiria niongee na konie awe matron wangu japo cjajua ataichukuliaje hii kwa namna nilivo muovertake!ila km atakataa nitacheki na smile au kipipi cha mcngi shuhuli imalizike mapema iwezekano!
Mtambuzi ndiye ananikabidhi my waif kanisani!eti best man awe mtambuzi
Missing u too nitonye!tena ctaki kbs mdingi wangu mtambuz ajue hii habari,yule mzee mnoko sn,anabana sn ndio maana nimeamua kumaliza juu kwa juu!hilo pua refu ndio hasa nimevutiwa nalo lol!vp wifi hajambo lkn?
daaaaah siamini macho yanguyaani hata hujaingia kwenye gari uliloomba lift
ushaanza kupiga honi kwa filimbi??
Ungekuwa uswazi weye, kwenye sherehe ungekuja na mbilimbi, limao, pilipili, na maji ya kunawa!
Rejao, kwa usalama wa gari hili
si-recommend huyu abiria.
canta my best friend unanisaliti? unapanga kufunga ndoa na mountain dew wangu tena unaniweka kwenye kamati kabisa jamani?Ok,mie nafikiria niongee na konie awe matron wangu japo cjajua ataichukuliaje hii kwa namna nilivo muovertake!ila km atakataa nitacheki na smile au kipipi cha mcngi shuhuli imalizike mapema iwezekano!
canta my best friend unanisaliti? unapanga kufunga ndoa na mountain dew wangu tena unaniweka kwenye kamati kabisa jamani?
rejao ni mtu wangu siku nyingi nimepanga nae mipango mingi na kumuacha siwezi moyo wangu haumjui mwanaume mwingine wala hauwezi kumuingiza mwingine maana pasword imbeblock kwa rejao nisaidie nitonyeEh makubwa rejao kawafanya nini!! Huyu kama hajaenda kwa Mzizi mkavu kupewa kazizi sijui maana naona mabinti wanapishana tu. Vipi tena Ruta humtaki tena?