Natangaza nampenda "Smile"

Natangaza nampenda "Smile"

Here ur my swty babu,
Km unavoona maandalizi ya ya harusi yanaendelea,
Na rejao ndio chaguo langu,
Kwa heshima yako nakuomba utupe baraka zako,km ulivoniahidi baada ya ukaguzi wako.
Hebu come this way nikufanyie ukaguzi wa mwisho...

Siku ile sikumalizia ukaguzi vizuri:juggle:
 
Cup cake, cream tata
Banana cake, you are my first candidate ujue
:grouphug: nyie wawili tu nawahug
Ukisusa mwenzio nala...

Kongosho Come this way baby...

Kongosho Asali ya ODM.

Source: ODM

Huu msredi umeniliza wivu sana...

Ngoja nisepe...:A S-coffee:

Wivu suna Babu ODM
Mie wako wa ndoa
Tena hadharani
Hata hii miti ni mashahidi
 
Hebu come this way nikufanyie ukaguzi wa mwisho...

Siku ile sikumalizia ukaguzi vizuri:juggle:
Its too late my swty babu,
Kwa sasa rejao pekee ndio ana access ya pale mahala,
Hope atakusaidia kumalizia teana kwa ufundi hasa,so usiwe na shaka kbs!!!
Mjukuu yuko kwenye mikono salama kbs.
 
Cup cake, cream tata
Banana cake, you are first candidate ujue
:grouphug: nyie wawili tu nawahug




Wivu suna Babu ODM
Mie wako wa ndoa
Tena hadharani
Hata hii miti ni mashahidi
ODM is happy...

Hebu ambia watu wanisomee hiyo bold kwa sauti niirekodi...

Afu uje this way umtumie ODM utakavyo.
 
Its too late my swty babu,
Kwa sasa rejao pekee ndio ana access ya pale mahala,
Hope atakusaidia kumalizia teana kwa ufundi hasa,so usiwe na shaka kbs!!!
Mjukuu yuko kwenye mikono salama kbs.
Hebu Asprin rudia rudia hayo maneno ili yakuingie vizuri!!!!
 
Pole sana my dia Smile...nakukabidhi leo kwa Babu Asprin akupet peti!!
Orayt... kumbe unajali maslahi yangu. Mwambie aje kesho, leo niko busy na mamsapu wangu huyu hapa chini.

Nshafika..
Tumia tu, ndo kazi yake.
Orayt... Nadhani umekuja na ubani... hebu uchome kabisa manake leo nataka tulale mkekani tukitafakari....
 
Ujue ntakubamidha
Na kwa ODM unaletea mamluki??
Usijali sweetie...

Huu mwili na viungo vyote ni mali yako peke yako.

Wengine wataishia kuangalia tu... watanawa lakini kula utakula weye.....
 
Usijali sweetie...

Huu mwili na viungo vyote ni mali yako peke yako.

Wengine wataishia kuangalia tu... watanawa lakini kula utakula weye.....

Tena na hali hii ya hewa
Ngoja nikuandalie chai ya maziwa ya mchai chai
na maamri kidogo
 
Thanky you my swty babu,
Kwa sasa rejao bado hana access ya pale mahala,
Ntakuja unikague kwa ufundi hasa,so usiwe na shaka kbs!!!
Mjukuu niko njiani nakuja

Nimeamua niongeze font ili nawe uyasome bila ya kuvaa mawani.....
Khaaaaaaa,
Wewe mzee mbona una hila kiasi hiki,
Ndio nn hiki umefanya hapa,

Haya ni maneno ya wakosaji tu,
Mie na rejao hakuna wa kututenganisha mpaka kifo pekee,
Maneno yako wala hayatusumbui,
Km ni access ya utukufu wangu anayo rejao pekee,
Tuache tujinafasi kwa raha zetu babu eee!!
 
Ooohh!my swty darling,come this way plz,

Nimekuandalia ile kitu unapenda,
Nikulishe na matunda,
Najua baadhi hawajapenda,
Hata wasipotaka nitakupenda,
Kwa mawazo watabakia kukonda
Penzi lako nitalilinda,
Mpaka kifo kitakapo tutenga!!!

oooh darlin,
Umeleta kwangu mwanga,
wengine nawaona wanga,
maisha sote tumeyapanga,
Naahidi kutoyakaanga.

Tumkaribishe kwetu Bishanga,
Wazushi wengine kama akina Kongosho, Smile na Asprin..wote tuwakimbize kwa mapanga!!
 
Hivi unajua raha ya mzee wewe???
Pole kama hujui, huhitaji panga boi wala kuchafuliwa
Ukiwa mkubwa utanielewa

huyo mzee nitampeleka wapi mimi? ujana wake ale na nani aje kunifia mimi akhaaa
 
oooh darlin,
Umeleta kwangu mwanga,
wengine nawaona wanga,
maisha sote tumeyapanga,
Naahidi kutoyakaanga.

Tumkaribishe kwetu Bishanga,
Wazushi wengine kama akina Kongosho, Smile na Asprin..wote tuwakimbize kwa mapanga!!
khaaaa umekula bange au?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom