Natangaza nampenda "Smile"

Natangaza nampenda "Smile"

Maytina, nikija Arusha wewe ndio utakuwa ubavu wangu...kwa sasa waachie wa humu mjini wanifaidi!!!

Rejao
Ukifika arusha panda basi la Mtei njoo Manyara ..ntakuwa stendi nakusubiri ..
 
rejao alikuwa anampenda smile lakini alikuwa anashindwa kumwambia sasa mimi nimemwambia anaanza kuona wivu. Ananikumbusha kuna rafiki yangu alikuwa anampa vitu mwanamke bila kumwambia kuna jamaa akaja moja kwa moja akamwambia wakakubaliana jamaa mwingine yule akaanza kudai vitu vyake vyoote alivyowahi kumpa. Sasa smile umechukua nini cha Rejao?
mmmh kumbe wewe ni mgeni hapa, jaribu kuuliza memberz wakongwe kuhusu sisi
 
ahahaaa marytina nikupunguzie nilikuambia njoo dar huku achana na wamasai na wajaluo huko huku raha hapa tunachit chat pia kanipm keshanitumia laki mbili za tax kwa mpesa nimdate holiday inn kwa dinner
hata wakutumie milioni bado kile kidude /kitai kwenye nanilii ya mmasai nitakimiss so ntajikuta nageuka malaya bureeee
 
Maytina, nikija Arusha wewe ndio utakuwa ubavu wangu...kwa sasa waachie wa humu mjini wanifaidi!!!
ujiandae kisawasawa kama vipi ni bora utumie ERECTOR 100 usije ukaniboa nakajiondokea zangu
 
Rejao
Ukifika arusha panda basi la Mtei njoo Manyara ..ntakuwa stendi nakusubiri ..
shosti tuheshimiane!!!!
long time mnamdiss Rejao sasa amekuwa wangu mnaanza kunipora.........endeleeni na wale wa kwenu pls msinigusie REJAO
 
Rejao rejaoa reajao
ujue wee ni kidumu chama cha congosho changu???

Smile si mliachana aliposafiri?
Never mind babu ODM na bepari la kihaya wapo.
 
Hapa inabidi nijidai kama sijaona post ya yeyote!! Sitaki kesi mie!!
 
Hv na wadada tunaruhucwa kutangaza nia jaman?maana kuna mkaka humu ananisababishia tetemeko la moyo lol!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom