Natangaza nampenda "Smile"

Natangaza nampenda "Smile"

Am happy umependa gauni..
namtafuta designer mzuri aandae wedding accessories zote!
Thx darling,as u say mie kwangu ni swadakta tu!
Km ujuavo mie ww ndio wangu king kwako sina kiswahili kingi!!
 
Thx darling,as u say mie kwangu ni swadakta tu!
Km ujuavo mie ww ndio wangu king kwako sina kiswahili kingi!!
Asante sana kwa maneno yako mazuri!!
hili ni kwa ajili yako
flower3.jpg
 
Duh.....hapa sijui mwisho wa siku utakuwaje ila mi naomba kadi ya mchango wa harusi mi na familia yangu au hakuna kuchangia?
 
Duh.....hapa sijui mwisho wa siku utakuwaje ila mi naomba kadi ya mchango wa harusi mi na familia yangu au hakuna kuchangia?
Kaizer,
Hii haina kuchangia...kila mtu anakaribishwa, si unaona arrangement zote zinafanyiwa hapa kwa uwazi?
 
Umejuaje kama ni dada mmmmmh
Jamani nimekuwamo humu toka siku nyingi ila nimejiunga hivi karibuni. Huyu dada smile nimempenda saana jinsi anavyochangia mada na jinsi anavyotoa mada mpya. Kwanza, anachangia mada kwa heshima na akitoa mada atajitahidi sana kumjibu kila mtu tofauti na watoa mada ambao akishatoa mada yeye anaishia hachangii tena. Kumbuka kisa kilichompata cha kutonyoa mavuzi na ile ya kupimwa mimba na headteacher. Smile i love you !, you are brilliant gal !
 
Duh.....hapa sijui mwisho wa siku utakuwaje ila mi naomba kadi ya mchango wa harusi mi na familia yangu au hakuna kuchangia?
Wow!my Big shem,ur mostly well come jaman,km shem mkubwa wa familia nakutambulisha rasmi kuwa Rejao ndio chaguo langu na maandalizi ya harusi ndio yanaendelea,naomba unifikishie salam kwa familia nzima,

Special hi kwa my Big sisy!!
 
Afu wewe
Ujue umegusa firigisi zangu??

Ngoja huyu canta, kama hajabadilika upepo utajibeba
Na hayo macho yako ndo yanakupa kiburi
Ntahikikisha mchicha haulimwi Dar tena
Nione utaonaje bila mchicha wangu

Na smile keshabebwa na TF
na mimi siyataki tena mapenzi yako ya kubip mara leo Beyshanga, mara Babu Asprin, mara The bossi... Ngoja nistick kwa canta wangu!
 
na mimi siyataki tena mapenzi yako ya kubip mara leo Beyshanga, mara Babu Asprin, mara The bossi... Ngoja nistick kwa canta wangu!
Ooohh!my swty darling,come this way plz,

Nimekuandalia ile kitu unapenda,
Nikulishe na matunda,
Najua baadhi hawajapenda,
Hata wasipotaka nitakupenda,
Kwa mawazo watabakia kukonda
Penzi lako nitalilinda,
Mpaka kifo kitakapo tutenga!!!
 
Huu msredi umeniliza wivu sana...

Ngoja nisepe...:A S-coffee:
Here ur my swty babu,
Km unavoona maandalizi ya ya harusi yanaendelea,
Na rejao ndio chaguo langu,
Kwa heshima yako nakuomba utupe baraka zako,km ulivoniahidi baada ya ukaguzi wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom